Wanawake wa kikurya ni nomaa

Wanawake wa kikurya ni nomaa

Lakini nikiacha utani wanawake wa kikurya wapo wazuri na ukikuta ana mzigo ana mzigo kweri kweri.. kiukweli mwanamke wa kikurya ukikuta kaumbika basi kaumbika haswa...

Kingine wana heshima na wana upendo..
Naunga mkono hoja
💯%
 
Najuta sana
Badili staili ya kuishi nae kwa afya ya akili yako tumia njia ya kukeep distance ndoa za mbalimbali kukutana wakati wa likizo au mara moja moja.
Angalau itakuponya.
Huwezi kumbadilisha mtu aliyekosa malezi ya upendo utotoni.
 
Badili staili ya kuishi nae kwa afya ya akili yako tumia njia ya kukeep distance ndoa za mbalimbali kukutana wakati wa likizo au mara moja moja.
Angalau itakuponya.
Huwezi kumbadilisha mtu aliyekosa malezi ya upendo utotoni.
Unatembea kwenye maisha yangu kama unanijua vile, hivi karibuni nilihamishiwa mkoa wa mbali nikapiga shangwe moyoni, ila hawa watu anaweza kukukosesha amani hata kwa simu.

Akianza vimeseji vya chokochoko loh!
 
Unatembea kwenye maisha yangu kama unanijua vile, hivi karibuni nilihamishiwa mkoa wa mbali nikapiga shangwe moyoni, ila hawa watu anaweza kukukosesha amani hata kwa simu.

Akianza vimeseji vya chokochoko loh!
Mimi mazingira yamenikeep distance na amani na Nuru tele cha kufia nini sumu alipewa na mama nifie nini Mimi sitaki kabisa watoto wangu au Jamii yangu ije itumbukie huko.
Wamekuzwa kibangi bangi ni hatari sana kwa afya ya akili,wao kukutukana mbele za watu hata kwenye daladala hawaoni tabu wapo tayari kulianzisha hata mbele za watu.
Wanabeba maroho mengi sana ya uchungu bila kushaurika uponyaji sasa kwann uwe muathirika wa malezi mabovu ya mama yake
 
Mimi mazingira yamenikeep distance na amani na Nuru tele cha kufia nini sumu alipewa na mama nifie nini Mimi sitaki kabisa watoto wangu au Jamii yangu ije itumbukie huko.
Wamekuzwa kibangi bangi ni hatari sana kwa afya ya akili,wao kukutukana mbele za watu hata kwenye daladala hawaoni tabu wapo tayari kulianzisha hata mbele za watu.
Wanabeba maroho mengi sana ya uchungu bila kushaurika uponyaji sasa kwann uwe muathirika wa malezi mabovu ya mama yake
Angalau umenitia moyo
 
Pima moyo wako afya yako ni muhimu but kuishi na mtu anaekutawala ni ngumu sana.
Verbal abuse kinywa kibaya kilichobeba moto na laana badala ya baraka na faraja unatakiwa uwe na PhD ya emotional intelligence kama Jesus Christ.
Hivi hivi unakufa
Unatembea kwenye maisha yangu kabisa, unajua sometimes kwa kauli na ubabe unajikuta huuoni uanaume wako kitu ambacho ni kibaya sana.


Hawa watu hawaelezeki wala sio watiifu, utaongea na kuongea anachotaka yeye ni hivyo tu huwa napata hasira sana
 
Unatembea kwenye maisha yangu kabisa, unajua sometimes kwa kauli na ubabe unajikuta huuoni uanaume wako kitu ambacho ni kibaya sana.


Hawa watu hawaelezeki wala sio watiifu, utaongea na kuongea anachotaka yeye ni hivyo tu huwa napata hasira sana
Hao ukishafunga nao ndoa ukazaa nae watoto anageuka kuwa mwanaume mwenzako, sometimes tunaishi nao tu kwa sababu ya watoto yaani hawajitambui kabisa hawajui nini maana ya familia,kama una akili za panzi ni rahisi kwenda jela kwa upumbavu wao.
Huwa hawarudi nyuma sisi tuliwaoa tumeamua kukaa pembeni,na kesi study zaidi ya watu nane kilio ni hicho hicho.
 
Hao ukishafunga nao ndoa ukazaa nae watoto anageuka kuwa mwanaume mwenzako, sometimes tunaishi nao tu kwa sababu ya watoto yaani hawajitambui kabisa hawajui nini maana ya familia,kama una akili za panzi ni rahisi kwenda jela kwa upumbavu wao.
Huwa hawarudi nyuma sisi tuliwaoa tumeamua kukaa pembeni,na kesi study zaidi ya watu nane kilio ni hicho hicho.
Aisee🤔🤔nimejichanganya sana mimi
 
Kweli ni wagomvi
Nilikuwa wilayani kwao juzi juzi yani wana lugha kavu kavu hawajui kuongea kike Kabisa , ni wagomviii
Eti mteja anaambiwa hatutaki ununue 🤣🤣🤣
 
Unatembea kwenye maisha yangu kabisa, unajua sometimes kwa kauli na ubabe unajikuta huuoni uanaume wako kitu ambacho ni kibaya sana.


Hawa watu hawaelezeki wala sio watiifu, utaongea na kuongea anachotaka yeye ni hivyo tu huwa napata hasira sana
Acha upumbavu kulialia hovyo,be a man
 
Back
Top Bottom