Amani ni msingi mzuri wa maendeleo kwny familia bila amani hakuna upendo bali chuki itaibuka
Wewe hauwajui wakurya na unaongelea events chache au za eneo ulilokaa nao, wakiwa hawapo katika zone yao. Kwa kifupi umeshibishwa propaganda za chuki.
Mkurya atembee na mjomba wake, hizo ni rare cases na adhabu ni kubwa. Aisee hizo labda unaongelea cases za generation hizi za wazaliwa wa 2005 mjini ambazo unaweza kuta hata rafiki yako alishamgonga mamaako

. Ukienda anajifanya mwanangu mwananguu anam hug kumbe anamshika mb**
Umalaya wa dada zetu ni wa kiwango cha kawaida labda kama mtu kapinda kimaadili, au kashavurugwa na life.
Halafu sisi huwa hatuchongi chongi sana, but when we do ish, we do it heavy. Propaganda tupu zimetumika. Zile docs zinauliza kabila gani, mtu anasema mjita, msimbiti,muikizu mnamlazimisha kuwa ni mkurya ni trash na kutoheshimu ID za watu.
Mkoa una makabila zaidi 12. Mapungufu ya kabila lako yasikulazimishe ku force mapungufu madogo ya wengine teh teh. Bora useme dada zetu hawajasoma kama wa kwenu, wamekeketwa n.k. Mambo amabyo yanafanyiwa marekebisho tartiibuu.
Dada angu Rahma Mwita alikuwa anagombea ubunge Kinondoni kwa tiketi ya ACT unamuonaje? Anaweza kukupiga ngumi yule, basi utakuwa choko akikupiga
