Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,260
- 86,977
Habari ndo hiyo 😹😹KERATO MOMBAA tacho omahe keno omusaghane ono akoghamba
Utajiju 🤣
Habari ndo hiyo 😹😹KERATO MOMBAA tacho omahe keno omusaghane ono akoghamba
Akiosha akakileta hakuna shida. Ukikuta mwanamke hana bikra ondoa wivuUmesahau umalaya 😹😹
Hadi mjomba ake anampea kitumbua akilenge..!! 🤣
Michawi, black black, white white..!!Mmm wakurya wachawi wewe huwajui wa kurya yani kabisa Mkurya umegombana nae aende kukuroga? Au umemdhulumu pesa aende kwa mganga? Kwanza huyu Mganga kwao Tarime hakuna,kama wanaenda kuwafata waganga nje ya mkoa na Mwanamke wakikurya hawezi kufunga safari akaenda mkoa mwingine akafata mganga amfanyie dawa ya mapenzi. Kule Mkoani mara kuna makabila Mengi karibia yana fika 20 kwa hiyo usikalili siyo kila mtu akisema anatokea mkoa wa Mara basi ni Mkurya, Nyerere, Butiku, Wasira, Jaji mkuu wa sasa Prof Muhongo, Simon sillo siyo wakurya na wanatokea Mkoa Wa Mara, Wakurya Original kwao Wilaya ya Tarime ila Wilaya zingine hizo Serengeti, Bunda, Musoma, Butiama uko Wakurya siyo kwao.
Wanawake wa Kimasai sio wakorofi.Jamii yote inayokula nyama ni lazima wawe wakorofi.
Anatetea kabila lake 😹Huyo hajui na hajatembea wasukuma wanavyopenda waganga kule kila Nyumba ina mganga wake na utakuta kiongozi wa Dini kabla ya kwenda kwenye ibada anaenda kwanza kwa Mganga na Wanawake wote wa Kisukuma wamechanjwa chale mgongoni na kifuani.
Mugumu gani hyo kuna wachawi? Au serengeti gani hyo? Eneo lipi?Ni wachawi nimefanya kazi nao serengeti mgumu ni wauaji ni wachonganyishi mno
Hata toi wakishusha 💩Msukuma akishamaliza kula ugali anasonga mwingine mdogo hivi anakula anashushia kama tunda..
Hatusikii sana kesi zao,Wanawake wa Kimasai sio wakorofi.
Ndo wawape na wajomba zao? 😹Akiosha akakileta hakuna shida. Ukikuta mwanamke hana bikra ondoa wivu
Sema wana mizimu mikali sana, mizimu ya wakurya ni kama ya kimasai..Michawi, black black, white white..!!
Pole kiongozi km imekugusa
HahahahahahaaaHabari ndo hiyo
Utajiju
HahahahahahaaaHabari ndo hiyo
Utajiju
Huwa wanatabia ya KUMPANDA MWANAUME KICHWANI.Wakurya sio Wachawi.
Pia ni wakarimu.
Mkielewana na mwanamke wa kikurya anayejitambua hapo Hadi mauti iwatenganishe
Omanye abhanto bhano mbhana ibhimeni sana!Mleta mada unajua maana ya UMUKANGI UWE?
Embe Fanya km unajikuna afu uingie pale TARIME ulete hii mada Yako, wakushangaze
Umugaka tacho hano mbane!
Kumbe! Ndo maana yule shemeji yangu Mkurya (mke wa rafiki) alinipea kitumbua bila hiyana.Umesahau umalaya 😹😹
Hadi mjomba ake anampea kitumbua akilenge..!! 🤣
Mwanamke wa kikurya anatakiwa aoelewe na mwanaume wa kizanzibari.Wewe kama ni kabila tofauti na wakurya sikushauri uoe mwanamke wa kikurya sababu ni hizi
◇ wengi wao ni wababe sana ugomvi hauwezi kuisha
◇ kwenye kupigana jitahidi visu mapanga unaweka mbali 😁
◇ mwanamke wa kikurya humpigi bali mnapigana
◇ Wanaviburi vya asili sana
◇ ugomvi kidogo wanakimbilia mapanga hao watu sio salama kbs
◇ Kwenye uchawi pia usipime hawa ndo huwa wanaroga wanaume unakuwa zuzu
◇ Akienda kwao akirudi lazima awe na mafurushi ya dawa za kienyeji
◇ Afu wengi wanaongea sana unakuta mwanamke anabishana na mme kama mtoto wake.
NB: Wazaramo na Tanga msijaribu kila siku mtakuwa mnapigika tu.
Wasukuma wanashindwana na mkurya sababu ya uchawi wakurya hawarogeki kirahisi ni mara chache sana kukuta ndoanya mkurya na msukuma inaamani
Wapi imekatazwa si uchoyo wao tuNdo wawape na wajomba zao? 😹
Sawa ila mizimu ni ya kwenu sio yetu walinitupia ugonjwa wa mguu nilioukanyaga geiti la hoteli wakati ninapita walitaka kuniua wakaniwekea sumu kwenye chakula.Mugumu gani hyo kuna wachawi? Au serengeti gani hyo? Eneo lipi?
Sema wewe ulikuwa unafuatiliwa na mizimu ya kwenu au uchawi ulikuwa unatoka huko kwenu
Wakurya hawana hzo pigo..
Ukimzingua tu anakuja moja kwa moja kwako au kama umemkasirisha sana atakutumia mtu uache huo ujinga..pigo za kichawi nimezisikia humu mitandaoni..