Wanawake wa kikurya ni nomaa

Wanawake wa kikurya ni nomaa

Wanawake wa kikurya umekaa nao vizuri hata zaidi ya 10 ukawasoma vizuri kwenye ndoa zao? Maana mugumu ina makabila mengi
Ndio ni watu waongeaji vibaya mno wanashika hadi mapanga hawana amani na maisha yao wao wasipo pigwa hawaoni wanapendwa .
Kuna wagita sijui wanini hawa ndio hutuliaga nakuwa wavumilivu
 
Ndio ni watu waongeaji vibaya mno wanashika hadi mapanga hawana amani na maisha yao wao wasipo pigwa hawaoni wanapendwa .
Kuna wagita sijui wanini hawa ndio hutuliaga nakuwa wavumilivu
Uko vaise vesa wanasema! Mjita anaolewa hata mara 10 na kila mji anazaa anaacha watoto kumbe hukuweza kuwajua wakurya inabidi ukae nao ujue kutofautisha mkurya ni yupi kati yao weeii mjita hata mkurya hawezi kuoa sasa
 
Back
Top Bottom