Wanawake tuupinge huu mchezo!!

ngoja niwaambie nyie wanawake,mwanaume anayekuomba nyuma hakuthamini hata kidogo na kukiloegea tu anaenda kutafuta mpya,kuna watu wananijua mimii kama ni kicheche lakini na ukicheche wangu nathamini sana mwanamke maana nina mama na nina madada na ma aunt.kuna mtu alishawahi sema watu wanaopenda tigo wao pia walishaonja je ina ukweli?
Siku hizi naona huu mchezo
Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu wako.Wito kwa wanawake tuache tamaa na tusikubali hata kupewa gari ili tukubali kufanyiwa huu mchezo.
 
Na kuna tatizo la wadada wanaopenda huo mchezo kuwalazimisha mamen. Ukikataa utajuta.......cjui itakuwaje huku duniani
 
Ukweli ni kwamba zaidi ya asilimia 90% ya wanawake ndio wanataka kufanyiwa hivyo na si kweli wanashawishiwa kwa mali!
 
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa

Acha uongo kama ulikufa? au huko kuzimu kuna jf?
 
Siku hizi naona huu mchezo
Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu wako.Wito kwa wanawake tuache tamaa na tusikubali hata kupewa gari ili tukubali kufanyiwa huu mchezo.

Hongera sana kwa kukemea maovu
 
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa

BOFLO BOFLO!! sasa kama unaandika hapa hii habari maanake hao majambazi walitekeleza kimoja katika hayo mawili waliokuambia uchague. mmh!! kazi kwelikweli, ndio maana umeamua kuuvalia njuga?
 
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa

....baada ya kuchagua kuuliwa (ambapo hakukutekelezwa) nahisi hao majambazi walikukagua wakaona unafaa zaidi kwa option ya pili, wakaamua kuitekeleza kisha wakakuacha hai. Inaonekana hukufurahia kufanywa kinyume na chaguo lako, umeamua kutoa tahadhari kwa wadada. Sasa swali langu ni; je majambazi hao hao wakienda kwa wadada kisha wakalazimisha option ya pili kama ilivyokuwa kwako, unawashauri waathirika wafanye nini?
 
Nimewahi kusikia wamama wanaongea ofisini kuwa mmoja wa waasisi wa taifa hili (marehemu) alikuwa anatembea na mwanamume mwenzie kwa muda mrefu na imekuwa ni sababu ya kifo chake kwani mirija iliziba. Wakaka hata kama mnaombwa (kama mnavyodai) kataeni kwani ina madhara kwa wote wawili. Na mimi wife ntajajua tu pale utakapoanza kulalamika sijuhi nini imeziba wakati mimi siruhusu ako ka mchezo
 
Nimewahi kusikia wamama wanaongea ofisini kuwa mmoja wa waasisi wa taifa hili (marehemu) alikuwa anatembea na mwanamume mwenzie kwa muda mrefu na imekuwa ni sababu ya kifo chake kwani mirija iliziba. Wakaka hata kama mnaombwa (kama mnavyodai) kataeni kwani ina madhara kwa wote wawili. Na mimi wife ntajajua tu pale utakapoanza kulalamika sijuhi nini imeziba wakati mimi siruhusu ako ka mchezo
Jamani kuziba kwa njia ya mkojo tatizo si hako kaSodoma ila ni magonjwa mbalimbali km kaswende, gono, pangusa haya yote yanaacha vidonda ndani ya kuta lainiza ndani ya uume km kuna ushahidi ni uchafu wa chakula ndio unaopenya na kuziba ni Imani na madaktari watatusaidia km watapitia hapa.
Mimi naamini muasisi wa kwetu hakua na mchezo huo, nimeishi naye Chamwino akiwa na mzungu mwandishi wake hakuna m2 aliyesogea, kwa sasa anasubiri kuwa Mtakatifu au Mwenyeheri huko hayuko jamani. Napo simtetei maana walikuwepo kina Mama wengi hata kina marehemu Lucy Mbunge moshi lkn si midume nakataa
 
Du Boflo nimeshindwa kulala kwa kukuonea huruma mbona kiswahili cha Tanga hicho KUuLIWA (wale wala wali waliwa) hao majambazi walikuwa wanataka nini maana masharti yote ni kuliwa tu. Samahani km nimekukwaza maana pia umewaambia kina mama mchezo huu TUUache

Mm navyosikia kuliko aachike au akuachanishe na mkeo utarushwa ukuta ujue usijue haimhusu
 
Huu mchezo ni mbaya mno nishaufanya mara moja .Haufai niliugulia siku tatu . Najutaga sana sitakaa nirudie tena Mungu na wanajamvi wote mnisamehe. Kama kuna mtu humu jamvin anaweza kunipa maushauri ntashukuru sana. Valentine njema.
 
Huu mchezo ni mbaya mno nishaufanya mara moja .Haufai niliugulia siku tatu . Najutaga sana sitakaa nirudie tena Mungu na wanajamvi wote mnisamehe. Kama kuna mtu humu jamvin anaweza kunipa maushauri ntashukuru sana. Valentine njema.

hiyo ID yako tu,
inaniambia kuwa haka ndo kamchezo kako siku zote!!!!
Nachelea kusema kama umeshaacha huu mchezo!!!!!!!!
 
Siku hizi naona huu mchezo
Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu wako.Wito kwa wanawake tuache tamaa na tusikubali hata kupewa gari ili tukubali kufanyiwa huu mchezo.


Kuna vielelezo gani kuwa sasa unaona ................ na kwamba unaongezeka kwa kasi ya ajabu?, au zamani mulikuwa wachache mnaofanyiwa?, au mulikuwa hamupewi magari?, ndo maana unajua kuwa inamadhara.
 
Back
Top Bottom