mfanyaji
Member
- Feb 1, 2011
- 76
- 12
ngoja niwaambie nyie wanawake,mwanaume anayekuomba nyuma hakuthamini hata kidogo na kukiloegea tu anaenda kutafuta mpya,kuna watu wananijua mimii kama ni kicheche lakini na ukicheche wangu nathamini sana mwanamke maana nina mama na nina madada na ma aunt.kuna mtu alishawahi sema watu wanaopenda tigo wao pia walishaonja je ina ukweli?
Siku hizi naona huu mchezo
Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu wako.Wito kwa wanawake tuache tamaa na tusikubali hata kupewa gari ili tukubali kufanyiwa huu mchezo.