Na mimi baada ya sera nikiona unaangalia najua tayari umeshashobokea flag tayari.
He! Kumbe swahiba ulikuwa hujui hili? Ina maana ulikuwa unapiga mkanda wa kijani na viatu vyekundu?! Hii kali. Mkanda kuendana rangi na viatu ni kama sheria mkuu. Mara nyingi ukichanganya kila mtu anakuona wakuja. Hata shati mkuu lazima liendane na suruali. Soksi pia lazima ziendane rangi na suruali.
hapo namba nne kwenye nyekundu,vp mimi ninaye natembea na mabulungutu na kwenye wallet hayatoshi inakua ndogo!??
Kwa vile wanuka vikwapa wenzetu wapo wa kumwaga kule uwanja wa fisi, hamtatuona huko ng'o. Shida ya nini bana, kule hakuna stress sijui kiatu changu kina vumbi, ni wewe na katambuga lako tu. Mambo mwake kabisa!.tena kama nyie muishie huko huko........nyie ndio mnaovaa mkanda usiomatch na viatu.........
weeee.....unaenda wapi na starlet........huku bila LX hutaweza........
Kama unatembea na mabunda ya pesa wewe utakua unsound, labda ungesema unatembea na Cheque-book japo lazima uwe na pesa cash due to transaction motive!!
halafu wewe......lile shati lako la kung'aa ng'aa usiwe unavaa.....vaa mashati ya kadet......nadhani unayajua........
Oh Mammah! Tena nlivokumisi, hebu twende PM tukapange mikakati. Niimelimisi pozi lako mantashau.
Hiyo namba nne ya kutokuwa na wallet mmmh! Yaani kuna siku mtu aliniambia hapendagi wallet nikachoka. Nikajua tu huyu anatokaga na buku tano home lol! Daladala na lunch kwishnei!
Mwingien mkaka ana wallets mbili. Duh!
Good riddance wapi utakuwa umekosa mchumba,
Halafu naenda kutangaza kitaa kuwa your uncultured, ili nikuharibie kabisa.
cheque book itawatuza vp wana Twanga na FM Academia,wewe tumeanza lini kupangiana utaratibu wa maisha!!??