Wanawake tunachoangalia........kwenye first date......

Wanawake tunachoangalia........kwenye first date......

Hhahahaha mkuu umenifurahisha eti kama boxer...anyways kwa mtindo huo basi hata hao wanawake hawana vigezo wao ilimradi liende..Upo! Hii mada inapaswa kulenga pande zote mbili sio mwanaume ana vigezo aishie kutakwa na wanawake kama kinyume cha mada yenyewe..meaning badala ya mwanaume heading iwe mwanamke..teh teh teh.
Sasa mamito, kwani Preta alisema hivyo vigezo vinawahusu mabinti malekchara wa taasisi za elimu ya juu?? Ye kasema festi deti na mvaa sketi yoyote, awe banker, mhasibu, karani, baamedi, changudoa, kondakta, mwalimu, fundi cherehani, mama ntilie, JF geloz kama wewe etc etc.....
 
Last edited by a moderator:
Sasa mamito, kwani Preta alisema hivyo vigezo vinawahusu mabinti malekchara wa taasisi za elimu ya juu?? Ye kasema festi deti na mvaa sketi yoyote, awe banker, mhasibu, karani, baamedi, changudoa, kondakta, mwalimu, fundi cherehani, mama ntilie, JF geloz kama wewe etc etc.....

Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate...
 
Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate...
"Bunduki bila risasi yaua namna gani"

tumblr_lkt404lcWy1qivrsco1_500.gif
 
Assume hyo first date imepangwa usiku...matokeo yake

Sina gari ila nilitoka kazn nikarudi hme nikabrush shoez then nikapanda bajaj nikatangulia eneo la tukio stil ntakuwa smart

Nimevaa shart imefubaa but tuko kwenye mwanga wa taa inang'aa kama mpya...

Nimebeba wallet ila inakaratasi kibao afu elfu hamsin nimeitia kwenye mfuko wa sharti nazuga natoa wallet wakati wa bill then narudisha afu nasema daaah kumbe napesa nyingne mfuko wa shaarti......

Itakula kwako Preta

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

ha ha ha....hii hata humu wa hivyo wamo.........
 
-Uelewa wa mambo kutokana na maongezi
-uwezo wa kunisikiliza
-they way anavyoji-carry
-taking care kama kurefill my glass
-showing interest in the things l do
Etc


sasa iki kinausianaje na kilicho ulizwa apo juu!! Make ujajibu swali unakurupuka tuu think mara mbili then jibuswali. Katika gr8 thinker kaka haupo.
 
sasa iki kinausianaje na kilicho ulizwa apo juu!! Make ujajibu swali unakurupuka tuu think mara mbili then jibuswali. Katika gr8 thinker kaka haupo.

HIvi ni swali gani lililoulizwa? Great thinker!!
 
Sio wote.....bali wengi wetu.....(nami nikiwemo).....huwa tunaangalia mambo haya........siku ya kwanza kukutana....(au kutoka).....

1.Kwanza tunatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili tujue kama una kazi au la.

2.Kama nguo zako zimefubaa, unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.

3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.

4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.

5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.

6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.

7.Ukiongea nami muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujanitongoza, najua umenipenda.

8. Ukinishika au kunigusa popote kwenye maongezi basi unanitaka kimwili.

9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.

10. Usiponitazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unaniogopa.

habari ndio hiyo........

Asanteeeeeee acha niwe na hivyo vigezo then nikutafute
 
Back
Top Bottom