Wanawake tunachoangalia........kwenye first date......

Wanawake tunachoangalia........kwenye first date......

Daaah babu una vituko sana!
Oh Mammah! Tena nlivokumisi, hebu twende PM tukapange mikakati. Niimelimisi pozi lako mantashau.

attachment.php
 
Mi mbona huwa natembea! Na Msimbazi mfukoni! Tena za kutosha!na wale jamaa zangu mara dk mbili kachomoa wallet,mara nyingi unakuta wamejaza 5000,tano,za thamani ya 20000!tu,yote hayo ulioorodhesha hayaendani na khali halisi ya Mausiano!! Et mara mwenye maswal!,mkanda na viatu!,dada kuwa makini na mchanganuo wako utapata hasara!ati!!!
 
Mikono yake kama ni migumu ( it means he had hard childhood ), smile ( if he smiles with his mouth open he is a firecracker )!If he wears khaki trouser( he has a lot of money ) If he wears strong cologne he is desperate and too cheap ,If he pays for the food or drink (he is not just into you ) ,If he talks about his parents how rich they are( he is a looser) if he talks about his grandmother ( he is a keeper ) If he grew up in poor neighborhood than yours ( don't return a call he may be a criminal or user )
 
:lol: sasa utaenda kuwatunza hao Fm academia na twanga kwa hayo maburungutu au utatoa elfu 10 tu?
we unakuaje, kielfu kumi chako si ukihifadhi tu asubuhi unywe mtori na chapati!!?, au piga Safari Lager zako za moto ukalale, MIMI KUTUZA NAMAANISHA HIVI HAPO CHINI

images
 
Dah, naangalia potential ya mtu, vingine vinafundishika unless ni short term plan.
 
Sio wote.....bali wengi wetu.....(nami nikiwemo).....huwa tunaangalia mambo haya........siku ya kwanza kukutana....(au kutoka).....

1.Kwanza tunatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili tujue kama una kazi au la.

2.Kama nguo zako zimefubaa, unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.

3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.

4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.

5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.

6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.

7.Ukiongea nami muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujanitongoza, najua umenipenda.

8. Ukinishika au kunigusa popote kwenye maongezi basi unanitaka kimwili.

9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.

10. Usiponitazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unaniogopa.

habari ndio hiyo........

Hahahahahahah! waifu, I hope nilitimiza vigezo na masharti ndo maana umekuwa wangu!!

9 na 10 hukuwahi nidokeza ati!
 
Na ndio maana wanaishiwa kuchezewa coz wanakuwa wanakupendea gari.its very bad na itawacost mabinti wengi,sasa akiwa anauliza gari je yeye analo?
Gari naweza kuazima la nguvu nikamgegeda basi namtema.
I remember nilikuwa natafuta fiancee na mabinti wakawa ata hawajali,i got a gal ambaye alinikuta sina gari,but within a year alinichange hasa mpaka mabinti wakawa wanaanza kunifuatilia wenyewe mpaka nikawa najiuliza at the time sina gari,mbona walikuwa wananikwepa,and i respect that gal very much what so ever she is asking najitahidi kumtimizia kikiwa ndani ya uwezo bcoz for wat she as done into my life,now ukiingia my home is completely different,beautiful etc.akili kumkichwa



Mi mbona huwa natembea! Na Msimbazi mfukoni! Tena za kutosha!na wale jamaa zangu mara dk mbili kachomoa wallet,mara nyingi unakuta wamejaza 5000,tano,za thamani ya 20000!tu,yote hayo ulioorodhesha hayaendani na khali halisi ya Mausiano!! Et mara mwenye maswal!,mkanda na viatu!,dada kuwa makini na mchanganuo wako utapata hasara!ati!!!
 
Hahahahahahahahahaha
nimecheka sana!
Daah jf raha tupu!
Mwl snowhite njoo na wewe utupie hapa mapointi + mwaJ

Mikono yake kama ni migumu ( it means he had hard childhood ), smile ( if he smiles with his mouth open he is a firecracker )!If he wears khaki trouser( he has a lot of money ) If he wears strong cologne he is desperate and too cheap ,If he pays for the food or drink (he is not just into you ) ,If he talks about his parents how rich they are( he is a looser) if he talks about his grandmother ( he is a keeper ) If he grew up in poor neighborhood than yours ( don't return a call he may be a criminal or user )
 
Last edited by a moderator:
Sio wote.....bali wengi wetu.....(nami nikiwemo).....huwa tunaangalia mambo haya........siku ya kwanza kukutana....(au kutoka).....

3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.

4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa

6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.


habari ndio hiyo........

Ndo raha ya kuwa na mwanamke mjasiriamali, sina shaka najua wengi mnao mmndea Preta wangu mtaji-screen wenyewe!!! Mi nalala home tu najua hata akipita mtaani peke yake mi poa tu najua wa kumit hivyo vigezo hayupo!!

Asante dia Preta kwa kuwa na njia mbadala ya ulinzi shirikishi
 
Last edited by a moderator:
:lol: sasa utaenda kuwatunza hao Fm academia na twanga kwa hayo maburungutu au utatoa elfu 10 tu?


mkuu hii slogan yako ungeandika "wealth begins in mind". Hakuna kitu kinachoitwa richness kwenye kiingereza. Niko tayari kukosolewa.
 
Mbona ni kama unaelezea tabia ya machangudoa wasio na sifa za kuwa wake ila wanajifanya wao sio machangudoa!. Wanaume wengi wanaopendeza na kuonekana vyema mara nyngi hubadilishwa na wake zao wawapo ndani ya nyumba. Ni wachache sana wanajua kupendeza bila mwanamke kuhusishwa awe Galfriend ama Mke, na hao wachache kuna wanaofundishwa na dada zao .

So usiwazalilishe wanawake wenzio kwa kuwaona wote ni wapenda material things (Machangu)
 
Sio wote.....bali wengi wetu.....(nami nikiwemo).....huwa tunaangalia mambo haya........siku ya kwanza kukutana....(au kutoka).....

1.Kwanza tunatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili tujue kama una kazi au la.

2.Kama nguo zako zimefubaa, unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.

3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.

4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.

5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.

6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.

7.Ukiongea nami muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujanitongoza, najua umenipenda.

8. Ukinishika au kunigusa popote kwenye maongezi basi unanitaka kimwili.

9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.

10. Usiponitazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unaniogopa.

habari ndio hiyo........

duh namba moja imenifurahisha sana mweh!!!!!!!!!!!!!!
 
Sasa wale waliopata zero mwaka huu sijui kama watakuja kuoa..
too much maelekezo these days...utasema mtihani wa necta...
kila siku mafunzo mapya...lol

usiogope bhana haya maneno tu hata kwenye khanga yapo,ukute hivi vikolombwezo viiiiingi lakini mkionana uso kwa uso akili na moyo vinalegea unastuka moyo umeshamdondokea yule ambaye hata vigezo hakuvitimiza,ndo maana kuna watu utamsikia anasema huyu naye sijui nilimpendea nn?LOVE IS BLIND
 
-Uelewa wa mambo kutokana na maongezi
-uwezo wa kunisikiliza
-they way anavyoji-carry
-taking care kama kurefill my glass
-showing interest in the things l do
Etc

Hapo kwenye red mmmmh angalia usije kutana na kibaka anarefill your glass then anaenda toilet jumla.
 
Cna cfa hata moja na nmewapga sna mpka ss nmeamua ku2lia kutaft mke wa kuoa coz nmegundua wote radha ni moja na knachowaponza ni tamaa na mcpo angalia mtapgwa mpka zihame kwa kuendkza tmaa!!!
 
hvyo vyote mbwebwe b.dada..Mwnaume huwa anaagenda nyuma yapazia
unajikuta mjuaji on 1st date mwshn vilio na stres juu we mov2th nxt1..apology lakin
 
Back
Top Bottom