Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wao wenyewe wakaanza kujifanya kushangaa na kumtupia lawama mtu wa picha lakin akawaambia ana uhakika na majibu yake.Ukweli niliishia kuumia hadi leo sikuchukua hatua yoyote ukizingatia hata pesa nilikuwa sina for that time.
Hiyo hospital inaitwa Igogwe.
Shida ilikuwa nini au walikuibia mtoto
 
Habari JF,

Tukiwa tunamalizia malizia wiki la wanawake duniani hebu wanawake wa JF tiririkeni kituko ulichofanya leba ulipokuwa na uchungu.

Aisee ile kitu achana nayo uchungu ulipozidi sana niliona bora nife kuliko kuendelea kuumwa namna ile, yani inafika wakati unaona kifo ndo kitu rahisi.

Ashukuriwe Mungu kuna kusahau

Asante mama
Chezea kitombeo wewe mkipona tu mnatamani tena kitombeo..!
 
huu ndo ujinga wenyewe!
manesi wanahitajika kubadilika we unaleta maombi!!.. ni mara ngapi watu wameshaliombea taifa lakini hayo maombi hayafui dafu..?
inatakiwa tuishi maisha ya kweli si kuimagine!,unatenda hivi unadhibitiwa ili usitende si hizi lomolomo.. kuna mwanamke kakomenti kuwa ilikuwa amebakiza kidogo tu kibofu kipasuke,asingekuja huyo kijana akamtibia hicho kibofu kingelipona?
hayo mambo ya maombi watz tufute kichwani huo si uhalisia,we need to change our way,we will get changes.
Wanashindwa kuelewa kuwa hao walioleta dini afrika walikuta tumestaarabika kuliko wao hata kama tulikua tunaabudu mizimu
 
Morogoro Hosp nikienda kujifungua pale, ukilia unapigwa kama mtoto, wale waupe mpaka wa napata wekundu kwa makofi. Mi hawakunipiga ila waliniulia mtoto.


Unanyanyaswa mpaka unaona hiki nini,,,sitasahau pale uchungu umekolea naambiwa nenda kafate dawa nje( sikujua kumbe wanataka rushwa) nikaanza kutambaa kwenda( kumbuka sakafu ya leba na serikalini uchafu wake) nilipofika mlangoni nikaskia we vipi wewe rudi,,utaendaje sasa


Aiseee I have a tale to tell
Pole sana kwa wakati mgumu uliopitia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom