Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Unatafuna meno yako mwenyewe
Kwa hapo nimekuelewa na naona haina shida Kwa kuwa hiyo ni kawaida mwaya!
Unatafuna meno yako mwenyewe
Again wanaoelezwa hapa ni wanaume ambao ni waume za wahusika na madakatari wanaozalisha hao wanawake unaojifanya ni siri, kama ulilala nae akakupa mimba cha ajabu nini kwenye kutoa mtoto??? Come on ndo nakwambia don’t take life too seriously usije kufa kabla ya muda.
Hao watoto watafanya hayo kwa wake zao na waume zao watahusika. Ila kama huyo mtoto yuko hapa jf, si jambo sio ajabu kusoma hizi habari.
Mfano wako hauna kichwa wala miguu, huna point.
Again wanaoelezwa hapa ni wanaume ambao ni waume za wahusika na madakatari wanaozalisha hao wanawake unaojifanya ni siri, kama ulilala nae akakupa mimba cha ajabu nini kwenye kutoa mtoto??? Come on ndo nakwambia don’t take life too seriously usije kufa kabla ya muda.
Hao watoto watafanya hayo kwa wake zao na waume zao watahusika. Ila kama huyo mtoto yuko hapa jf, si jambo sio ajabu kusoma hizi habari.
Mfano wako hauna kichwa wala miguu, huna point.
unafanya nin kwa huu uzi sasaKwa Msungo Kama wewe ataona ni jambo la kawaida Kama unavyolichukulia wewe na wala sikushangai sana!
Lakini Kwa aliyefundwa ni mtihani kuyasema hayo Kwenye watu wengi wa jinsia tofauti!
Sasa nikuulize swali;
Hivi unazani Kwa mfano ni kila Mtu yeyote anaruhusiwa kuingia leba wakati wowote kwenda kuona yanayofanyika ?
Kuna kitu kinaitwa " Privacy" na human dignity !
Na ndomana Hata chooni kunawekwa Milango Mtu akifika anafunga wakati wa kujisaidia , la Kama ni hivyo wajenzi wasingekuwa wanaweka Milango maanake kile kitakachokuwa kinafanyika kule kina hujulikana na Kila Mtu kwanini Mtu ajifungie? Si ndo hoja yako ya uwazi na kuwa watu wanajua toka sekondari kupitia somo la biolojia?!
Kabisa mie huwa hivi vitatu naviona ni vigumu sana.
Hongereni sana Wanawake.
- Kupata hedhi
- Kubeba ujauzito
- Kujifungua




,kumbe mwenzie walaaa siumii vitu vinatoka vyenyew tu mpaka inabid kumwambia siumiii bhana usisikiteSithibutu tena kwenda government,,, labda wanipeleke sijielewi
Hahahahaha hiyo no.1 (kupata hedhi) one of my bf alikua ananionea huruma saaana nikiingia period eti anaona naumia sanaa,kumbe mwenzie walaaa siumii vitu vinatoka vyenyew tu mpaka inabid kumwambia siumiii bhana usisikite
Wewe ni wale wenye bahati wengine huugua kupita kiasi kwa siku mbili hadi nne. Hoi kitandani, ila mie naona karaha ya kuvaa yale madubwasha kwa siku zile Mgeni anapokuwa amekuja kusalimia.


!!! Yale madubwasha yanakera kweli kweli na hayazoeleki.Wanaugua maumivu ya hedhi tumbo ,kiuno wengine mpaka homa .....sasa yeye anahisi pale panatoka damu kwenye papuch ndo panauma!!! Yale madubwasha yanakera kweli kweli na hayazoeleki.
Mama sabrina umeelezea kwa hisia pole na hongeraMimi nilivyofika Leba ,nikapelekwa sehemu ya mapumziko walikuwepo wajawazito wengii,sasa uchungu ulikuwa haujanishika kivile nilikuwa natokwa na maji tu, daktari akanipima akasema bado,,sasa mle kwenye ukumbi kulikuwa na wamama wengi mwingine anaruka, mwingine anajivuta vuta chini, si nikaanza kuwacheka nikasema mbona mimi siumwii.
kKumbe bana uchungu unakuja taratibu, nikawa nashangaa kila muda unavyozidi kwenda maumivu yananizidia wale niliokuwa nawacheka wao wanajifungua wananiacha tu, kukakucha asubuhi niliona ni mwaka na nikasema sirudiii ,kama nilikuwa natembea uchungua ukaja ghafla naganda kama sanamu kama kuna mti ntaung'ang'ania kweli, ilifikia muda sitaki kuja kusalimiwa wala kuonwa na mtu yeyote maana watu wanavyozidi kuja kuniona ndivyo uchungu unazidi kuwa mkali nikawazuia.
Niliita majina yote ya Mungu nikawa namshika mama yangu namuambia aniombee haraka uchungu upoekiuno changu kilikuwa cha moto nauchukua mkono wa mama nauweka kiunoni kwangu namwambia aniombee
mama yangu mpaka alilia nilivyokuwa nahangaika nyie acheni jamani.
Usiku ulipofika saa 2 nikasikia kusukuma nikapelekwa chumbani nimefika kule kila nikisukuma hola,,wakaniwekea maji ya uchungu wapiii wakasema huyu anatakiwa kisu tu nikajitahidi kusukuma wakaja madaktari na manesi wamenizunguka mwingine kanishika kichwa ,mwingine tumbo anabinya,mwingine anaangalia njia ya mtoto (sitasahau)mtoto alitoka saa 8 nanusu kuamkia tarehe 8 na mwaka ....8 loo kazi niliipata
Sasa najiuliza wanaozaa watoto 7 au 8 wanawezaje?maana mim toka nizae sina hamu tena halaf sijawah pata maumivu kama yale toka nizaliwe sema na ukweli
Mama Aheshimiwe ,maana wanaume wangepewa huu uchungu hata dakika wangeukataa na wangetuheshimu sana
Eti sisi wanaume tunasema maumivu ya KISU CHA NGALIBA nacho ni balaa na moto wa kuotea mbali!!!

Hivi hedhi huwa inawabadilisha mood labda hasira, concentration n.kWanaugua maumivu ya hedhi tumbo ,kiuno wengine mpaka homa .....sasa yeye anahisi pale panatoka damu kwenye papuch ndo panauma!!! Yale madubwasha yanakera kweli kweli na hayazoeleki.
Hahahahaha lol! Huyu BF wako alikuwa ni hatari sana. Sijawahi kusikia hii LoL! Hahahahaha
Umeona eeh! Tena kuvaa kwa 24hours mpaka mgeni aondoke zake.



Bora ingekuwa 24hrs ..... ni siku 3 mpaka 5 unafanya kazi ya kubadilisha kila baada ya masaa kadhaa mpaka wageni waondoke![]()
Bora ingekuwa 24hrs ..... ni siku 3 mpaka 5 unafanya kazi ya kubadilisha kila baada ya masaa kadhaa mpaka wageni waondoke![]()
Duuuuu hii tanzania haiwezekani !!! Makampuni watagoma kabisa kuajiri wanawake , maana hizi likizo za uzazi tu wanalalama wengine kafikia mpaka kuajir wadada wachache ili kukwepa kero za likizo nyingi
Kaka off topic;naomba unitafutie kajisong kazuuri cha kuapologize cha kizungu lakini....Na hii Serikali dhalimu ambayo inaadhibu hadi Wanafunzi kwa kupata mimba na hivyo kukosa elimu hili sahau kabisa.

Kaka off topic;naomba unitafutie kajisong kazuuri cha kuapologize cha kizungu lakini....![]()
![]()
![]()