Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Again wanaoelezwa hapa ni wanaume ambao ni waume za wahusika na madakatari wanaozalisha hao wanawake unaojifanya ni siri, kama ulilala nae akakupa mimba cha ajabu nini kwenye kutoa mtoto??? Come on ndo nakwambia don’t take life too seriously usije kufa kabla ya muda.
Hao watoto watafanya hayo kwa wake zao na waume zao watahusika. Ila kama huyo mtoto yuko hapa jf, si jambo sio ajabu kusoma hizi habari.
Mfano wako hauna kichwa wala miguu, huna point.

Kwa Msungo Kama wewe ataona ni jambo la kawaida Kama unavyolichukulia wewe na wala sikushangai sana!
Lakini Kwa aliyefundwa ni mtihani kuyasema hayo Kwenye watu wengi wa jinsia tofauti!
Sasa nikuulize swali;
Hivi unazani Kwa mfano ni kila Mtu yeyote anaruhusiwa kuingia leba wakati wowote kwenda kuona yanayofanyika ?
Kuna kitu kinaitwa " Privacy" na human dignity !
Na ndomana Hata chooni kunawekwa Milango Mtu akifika anafunga wakati wa kujisaidia , la Kama ni hivyo wajenzi wasingekuwa wanaweka Milango maanake kile kitakachokuwa kinafanyika kule kina hujulikana na Kila Mtu kwanini Mtu ajifungie? Si ndo hoja yako ya uwazi na kuwa watu wanajua toka sekondari kupitia somo la biolojia?!
 
Again wanaoelezwa hapa ni wanaume ambao ni waume za wahusika na madakatari wanaozalisha hao wanawake unaojifanya ni siri, kama ulilala nae akakupa mimba cha ajabu nini kwenye kutoa mtoto??? Come on ndo nakwambia don’t take life too seriously usije kufa kabla ya muda.
Hao watoto watafanya hayo kwa wake zao na waume zao watahusika. Ila kama huyo mtoto yuko hapa jf, si jambo sio ajabu kusoma hizi habari.
Mfano wako hauna kichwa wala miguu, huna point.

Hata hivyo Kama nimekukosea naomba unisamehe !
Siyo kusudio langu kukukwaza!
 
Kwa Msungo Kama wewe ataona ni jambo la kawaida Kama unavyolichukulia wewe na wala sikushangai sana!
Lakini Kwa aliyefundwa ni mtihani kuyasema hayo Kwenye watu wengi wa jinsia tofauti!
Sasa nikuulize swali;
Hivi unazani Kwa mfano ni kila Mtu yeyote anaruhusiwa kuingia leba wakati wowote kwenda kuona yanayofanyika ?
Kuna kitu kinaitwa " Privacy" na human dignity !
Na ndomana Hata chooni kunawekwa Milango Mtu akifika anafunga wakati wa kujisaidia , la Kama ni hivyo wajenzi wasingekuwa wanaweka Milango maanake kile kitakachokuwa kinafanyika kule kina hujulikana na Kila Mtu kwanini Mtu ajifungie? Si ndo hoja yako ya uwazi na kuwa watu wanajua toka sekondari kupitia somo la biolojia?!
unafanya nin kwa huu uzi sasa
 
Kabisa mie huwa hivi vitatu naviona ni vigumu sana.

  1. Kupata hedhi
  2. Kubeba ujauzito
  3. Kujifungua
Hongereni sana Wanawake.

Hahahahaha hiyo no.1 (kupata hedhi) one of my bf alikua ananionea huruma saaana nikiingia period eti anaona naumia sanaa ,kumbe mwenzie walaaa siumii vitu vinatoka vyenyew tu mpaka inabid kumwambia siumiii bhana usisikite
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe ni wale wenye bahati wengine huugua kupita kiasi kwa siku mbili hadi nne. Hoi kitandani, ila mie naona karaha ya kuvaa yale madubwasha kwa siku zile Mgeni anapokuwa amekuja kusalimia.

Hahahahaha hiyo no.1 (kupata hedhi) one of my bf alikua ananionea huruma saaana nikiingia period eti anaona naumia sanaa ,kumbe mwenzie walaaa siumii vitu vinatoka vyenyew tu mpaka inabid kumwambia siumiii bhana usisikite
 
Wewe ni wale wenye bahati wengine huugua kupita kiasi kwa siku mbili hadi nne. Hoi kitandani, ila mie naona karaha ya kuvaa yale madubwasha kwa siku zile Mgeni anapokuwa amekuja kusalimia.

Wanaugua maumivu ya hedhi tumbo ,kiuno wengine mpaka homa .....sasa yeye anahisi pale panatoka damu kwenye papuch ndo panauma !!! Yale madubwasha yanakera kweli kweli na hayazoeleki.
 
Hahahahaha lol! Huyu BF wako alikuwa ni hatari sana. Sijawahi kusikia hii LoL! Hahahahaha

Umeona eeh! Tena kuvaa kwa 24hours mpaka mgeni aondoke zake.

Wanaugua maumivu ya hedhi tumbo ,kiuno wengine mpaka homa .....sasa yeye anahisi pale panatoka damu kwenye papuch ndo panauma !!! Yale madubwasha yanakera kweli kweli na hayazoeleki.
 
Mimi nilivyofika Leba ,nikapelekwa sehemu ya mapumziko walikuwepo wajawazito wengii,sasa uchungu ulikuwa haujanishika kivile nilikuwa natokwa na maji tu, daktari akanipima akasema bado,,sasa mle kwenye ukumbi kulikuwa na wamama wengi mwingine anaruka, mwingine anajivuta vuta chini, si nikaanza kuwacheka nikasema mbona mimi siumwii.

kKumbe bana uchungu unakuja taratibu, nikawa nashangaa kila muda unavyozidi kwenda maumivu yananizidia wale niliokuwa nawacheka wao wanajifungua wananiacha tu, kukakucha asubuhi niliona ni mwaka na nikasema sirudiii ,kama nilikuwa natembea uchungua ukaja ghafla naganda kama sanamu kama kuna mti ntaung'ang'ania kweli, ilifikia muda sitaki kuja kusalimiwa wala kuonwa na mtu yeyote maana watu wanavyozidi kuja kuniona ndivyo uchungu unazidi kuwa mkali nikawazuia.

Niliita majina yote ya Mungu nikawa namshika mama yangu namuambia aniombee haraka uchungu upoe kiuno changu kilikuwa cha moto nauchukua mkono wa mama nauweka kiunoni kwangu namwambia aniombee mama yangu mpaka alilia nilivyokuwa nahangaika nyie acheni jamani.

Usiku ulipofika saa 2 nikasikia kusukuma nikapelekwa chumbani nimefika kule kila nikisukuma hola,,wakaniwekea maji ya uchungu wapiii wakasema huyu anatakiwa kisu tu nikajitahidi kusukuma wakaja madaktari na manesi wamenizunguka mwingine kanishika kichwa ,mwingine tumbo anabinya,mwingine anaangalia njia ya mtoto (sitasahau)mtoto alitoka saa 8 nanusu kuamkia tarehe 8 na mwaka ....8 loo kazi niliipata

Sasa najiuliza wanaozaa watoto 7 au 8 wanawezaje?maana mim toka nizae sina hamu tena halaf sijawah pata maumivu kama yale toka nizaliwe sema na ukweli
Mama Aheshimiwe ,maana wanaume wangepewa huu uchungu hata dakika wangeukataa na wangetuheshimu sana
Mama sabrina umeelezea kwa hisia pole na hongera
 
Wanaugua maumivu ya hedhi tumbo ,kiuno wengine mpaka homa .....sasa yeye anahisi pale panatoka damu kwenye papuch ndo panauma !!! Yale madubwasha yanakera kweli kweli na hayazoeleki.
Hivi hedhi huwa inawabadilisha mood labda hasira, concentration n.k
 
Hahahahaha lol! Huyu BF wako alikuwa ni hatari sana. Sijawahi kusikia hii LoL! Hahahahaha

Umeona eeh! Tena kuvaa kwa 24hours mpaka mgeni aondoke zake.

Bora ingekuwa 24hrs ..... ni siku 3 mpaka 5 unafanya kazi ya kubadilisha kila baada ya masaa kadhaa mpaka wageni waondoke
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni shidaaaa. Kuna nchi sikumbuki ni ipi imepitisha hivi karibuni kama sikosei siku zote hizo tano KE anaweza kusema anaumwa na kulipwa mshahara wake wa siku ambazo ni mgonjwa.

Bora ingekuwa 24hrs ..... ni siku 3 mpaka 5 unafanya kazi ya kubadilisha kila baada ya masaa kadhaa mpaka wageni waondoke
 
Na hii Serikali dhalimu ambayo inaadhibu hadi Wanafunzi kwa kupata mimba na hivyo kukosa elimu hili sahau kabisa.

Duuuuu hii tanzania haiwezekani !!! Makampuni watagoma kabisa kuajiri wanawake , maana hizi likizo za uzazi tu wanalalama wengine kafikia mpaka kuajir wadada wachache ili kukwepa kero za likizo nyingi
 
Wanawake wa sikuhizi eti kuzaa wanaona shida nakumbuka miaka ya nyuma mwanamke anajifungua mwenyewe bila kwenda hospitali wala nini na baada ya miaka miwili anajifungua tena ila sikuhizi hata kusukuma tu hawawezi hebu ona matumbo yao yalivyojaa mishono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom