Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

kumbe mnafata nini?
Mimi nimekuja kukusalimia una nyege kanunue changu aisee, ujue wanawake hatuwazagi Kama nyie mnavowaza ngono, Bora basi muwe mulikubaliana Mimi hujawahi hata kuniambia kitu nafika kwako unataka mchezo hapo sikutafta ugomvi na case
 
We unajua upo fresh ungeweza kaaa bila kunyanduanaa kweliii ye alichoosea n kuama tu om. Ila kwenye miaka mzee umetupangaa 30 5 child
 
Sio hivyo dear vile vitu vinakujaga automatic tu.
Ya kurbagain kama tunauziana biashara huwa hainogi.
Mimi nimekuja kukusalimia una nyege kanunue changu aisee, ujue wanawake hatuwazagi Kama nyie mnavowaza ngono, Bora basi muwe mulikubaliana Mimi hujawahi hata kuniambia kitu nafika kwako unataka mchezo hapo sikutafta ugomvi na case
 
Sidhani bana dharau nikatabia tu ka mtu
mkuu hili nina ushahidi nalo, kuna jamaa tumewahi panga sehem, huyu bwana mkewe alikua akichepuka na mpangaj mwenzetu, huyu mwanamke alikua akimfanyia dharau kubwa kubwa mumewe kitu ambacho kabla hakufanya, yaani nyie utam wa nje huwabadili sana, huwafanya wenza wenu muwaone wadogo kama piliton.
 
Ndio hivyo,sasa hapo tunaongelea mwanamke wa kawaida asiye na tamaa.
Kuna wanawake wengine umeishi naye kwa miaka 30 umestaafu kazi ukaishiwa pesa anakukimbia.
Hawa mbona wanajulikanaga mapema mno na ndio sampuli iliojaa sokoni kwa sasa, huhitaji hata miaka miwili kumjua kuwa mwanamke wako yuko kimaslahi.

Mkishazoeana tu mwambie hela hamna uone reaction zake.😂😂😂😂😂 au mnyime hela tu kwa muda wa mwezi mmoja.
 
Kwahio saluni atumie ya kwako halafu kwa jeuri papuchi apeleke anapopataka yeye!?😂😂😂

Nimecheka hapo pa kuombwa msamaha maana kumbe kiburi kilikuwa sababu anatumia huduma zako bure!
Yani na bora angeomba msamaha kpndi kile kile tumeachana ningejua

kweli msamaha unatoka moyoni ila msamaha umekuja baada ya kulipishwa hela

na kuambiwa kuwa kila akija ajue hela lazima atatoa akajifikiria huko weeee akaona

hapana,acha anirudie aniombe msamaha akifikiri namimi chizi nimsamehe wakati

nimeshajua lengo la msamaha wake,msamaha wenye lengo bovu ndani yake,paka yule...
 
Yani na bora angeomba msamaha kpndi kile kile tumeachana ningejua

kweli msamaha unatoka moyoni ila msamaha umekuja baada ya kulipishwa hela

na kuambiwa kuwa kila akija ajue hela lazima atatoa akajifikiria huko weeee akaona

hapana,acha anirudie aniombe msamaha akifikiri namimi chizi nimsamehe wakati

nimeshajua lengo la msamaha wake,msamaha wenye lengo bovu ndani yake,paka yule...
pumbavu sana huyo maraya carey!
 
Ndio hvyo mkuu yaani siku moja tu ukimwambia anakunja sura,anasahau yote uliyoyafanya nyuma.
Mtihani sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hawa mbona wanajulikanaga mapema mno na ndio sampuli iliojaa sokoni kwa sasa, huhitaji hata miaka miwili kumjua kuwa mwanamke wako yuko kimaslahi.

Mkishazoeana tu mwambie hela hamna uone reaction zake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au mnyime hela tu kwa muda wa mwezi mmoja.
 
Ndio hvyo mkuu yaani siku moja tu ukimwambia anakunja sura,anasahau yote uliyoyafanya nyuma.
Mtihani sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mwanamke na pesa ni kama samaki na maji! Japo sio wote ila 90% ya wanawake wanaopenda kupokea kuliko kutoa at some point in life watakusumbua hasa kipindi ambacho unapitia changamoto za kimaisha.
 
Mwanamke na pesa ni kama samaki na maji! Japo sio wote ila 90% ya wanawake wanaopenda kupokea kuliko kutoa at some point in life watakusumbua hasa kipindi ambacho unapitia changamoto za kimaisha.
Ni ukweli ukiwa limbukeni ukashindwa kutuliza kichwa ukaingia kwa pupa lazima uvabe,huwa nawaonea huruma sana wanaume wenzangu badala ya kupewa faraja na wake zao huwa wanaongezewa stress zaidi,kazini moto nyumbani moto.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ni ukweli ukiwa limbukeni ukashindwa kutuliza kichwa ukaingia kwa pupa lazima uvabe,huwa nawaonea huruma sana wanaume wenzangu badala ya kupewa faraja na wake zao huwa wanaongezewa stress zaidi,kazini moto nyumbani moto.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Najiuliza hivi unakuwaje na hela kisha unashindwa kuchagua mwanamke sahihi?😆😆😆😆😆
 
wewe upo kama mimi mkuu.
Mimi ni mtu wa kipato cha kawaida tu nilivyojipanga kimaisha nikasafiri mikoa zaidi ya mitano nikaenda kumchomoa mwarabu nikamuweka ndani,wale mademu wa mtaani wakabaki wanang'aa macho tu hawaamini kilichotokea.
Mtoto mzuri,ana nidhamu,ana hofu ya mungu.
Kuna haja gani ya kuoa wadangaji wakupasue kichwa.
Najiuliza hivi unakuwaje na hela kisha unashindwa kuchagua mwanamke sahihi?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
wewe upo kama mimi mkuu.
Mimi ni mtu wa kipato cha kawaida tu nilivyojipanga kimaisha nikasafiri mikoa zaidi ya mitano nikaenda kumchomoa mwarabu nikamuweka ndani,wale mademu wa mtaani wakabaki wanang'aa macho tu hawaamini kilichotokea.
Mtoto mzuri,ana nidhamu,ana hofu ya mungu.
Kuna haja gani ya kuoa wadangaji wakupasue kichwa.
Safi kabisa tena ulifanya uamuzi sahihi kabisa. Mke unatakiwa umtoe mbali bana. Sio unakaa Dar unaenda kuoa Morogoro au Dar hapo hapo! Chukua mama kanda ya ziwa huko...😆😆😆
 
Safi kabisa tena ulifanya uamuzi sahihi kabisa. Mke unatakiwa umtoe mbali bana. Sio unakaa Dar unaenda kuoa Morogoro! Chukua mama kanda ya ziwa huko...[emoji38][emoji38][emoji38]
Habari ndio hiyo kudadeki sio unakaa dar unaoa kibaha kila baada ya siku 3 ndugu zake wanakuja kujazana kama msibani inakuwa kero ndani huna amani.
Hata yeye akitaka kusafiri kwenda kwao ajipange nauli laki kwa miaka miwili anakwenda mara 1,sio kila wiki aende kwa ndugu zake kwenye vigodoro.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah
Mkuu pole kwa yalitokukuta.
Muone dokta Mwaka anaweza kutatua tatizo lako[emoji846][emoji846]
 
Unashangaa,huku Namtumbo Kuna Dada tulimaliza nae primary ana miaka 31 na ana mjukuu,kampata mwaka Jana akiwa na miaka 30.
So kuwa na wa5 kawaida,yeye anao wanne
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
It means huyo aliza akiwa na 15, afu mwanae naye kazaa akiwa na 15yrs
Unashangaa,huku Namtumbo Kuna Dada tulimaliza nae primary ana miaka 31 na ana mjukuu,kampata mwaka Jana akiwa na miaka 30.
So kuwa na wa5 kawaida,yeye anao wanne
 
Back
Top Bottom