Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

taratibu mkuu hapa hatugombani, kwa mujibu wa maelezo yako huko mwanzoni mwa uzi ulionesha kushangazwa sana na mtu wa umri huo kuhave 5 kids
Ndio nilishangazwa, sasa umeambiwa na nani kuwa mimi pia nina umri huo?
 
Dada wa miaka 30 ana watoto watano
Mwaka juzi nilienda usukumani jina la kijiji nimesahau ila ilikuwa Shinyanga

Nilimkuta mdada wa miaka 26 tayari ana watoto 5 mie nilistaajabu,kwanza umbo lake haoneshi kama hata ana idadi hiyo ya watoto..

Nilishangaa zaidi aliponiambia watoto wote hao amewazaa nyumbani kwa kusaidiwa na mkunga wa kijiji na ni uzazi wa kawaida bila kuhusisha kisu..

Mwisho kabisa aliniambia anatamani akifikisha umri wa miaka 30 awe tayari na watoto 8 na iwe ndio Mwisho wa kuwa kuzaa..

Nilichojofunza kuna makabila hayana changamoto ya uzazi lakini pia vyakula vinawasaidia sana..

Nimekumiss!!!!!......
 
Ndio nilishangazwa, sasa umeambiwa na nani kuwa mimi pia nina umri huo?
right hauna umri huo bt bado hujawa na familia ya 5 kids mkuu, kwa mtizamo wangu nadhani unaweza kua na 2 or 1kid
 
Mwaka juzi nilienda usukumani jina la kijiji nimesahau ila ilikuwa Shinyanga

Nilimkuta mdada wa miaka 26 tayari ana watoto 5 mie nilistaajabu,kwanza umbo lake haoneshi kama hata ana idadi hiyo ya watoto..

Nilishangaa zaidi aliponiambia watoto wote hao amewazaa nyumbani kwa kusaidiwa na mkunga wa kijiji na ni uzazi wa kawaida bila kuhusisha kisu..

Mwisho kabisa aliniambia anatamani akifikisha umri wa miaka 30 awe tayari na watoto 8 na iwe ndio Mwisho wa kuwa kuzaa..

Nilichojofunza kuna makabila hayana changamoto ya uzazi lakini pia vyakula vinawasaidia sana..

Nimekumiss!!!!!......
Duuh aisee noma sana, nimekumiss pia
 
Ila hata nyie hamuridhiki bwana in short ni ngumu kumridhisha mwanadamu fanya Jambo lolote kwa kiasi bila kutegemea fadhila, unaweza mpa mtu kila kitu Ila ukawa hujui kubembeleza akaenda kwa anayejua kumbembeleza. In short you can't sastify a human being
Hapa umenena vizuri sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huyu dada hajielewi nadhani ana kaulimbukeni flani hivi si unaona baada ya dhiki na kuanza kupendeza akaanza tabia yake halisi.
Hana akili, zero brain
 
umemaliza kila kitu,yani mwanamke kutosheka na kuridhika

labda aamue yeye mwenyewe ila sio eti kwa kumfanyia kitu/vitu

ndio kutamfanya atulie,thubutu yao! yani ukiona mwanamke katuliaa

n moyo wake na serikali yake ya kichwa imeamua kutulia,ila sio hayo magari wala pesa

tunazowapa eti ndio zinamtuliza,Never Never haipo hiyo,Mimi ndio mana mwanamke asie

na hofu ya Mungu simtaki maana najua tu nachukua bomu litalonilipukia anytime its a matter of time.
Exactly!! Kumbe na wewe unawajua vizuri mkuu. Tena umeongeza kitu muhimu sana, ni kweli wenye hofu ya Mungu wana afadhali. Lakini hawa wengine mmh

Halafu wanawake ukishawajua hivo akili yao wala haikusumbui tena kichwani. Ndo maana tumeambiwa tuishi nao kwa akili, sema tu wengi hatuelewi maana yake
 
umemaliza kila kitu,yani mwanamke kutosheka na kuridhika

labda aamue yeye mwenyewe ila sio eti kwa kumfanyia kitu/vitu

ndio kutamfanya atulie,thubutu yao! yani ukiona mwanamke katuliaa

n moyo wake na serikali yake ya kichwa imeamua kutulia,ila sio hayo magari wala pesa

tunazowapa eti ndio zinamtuliza,Never Never haipo hiyo,Mimi ndio mana mwanamke asie

na hofu ya Mungu simtaki maana najua tu nachukua bomu litalonilipukia anytime its a matter of time.
Nimependa mno ulivyofafanua vizuri, mifano uliyotoa, na ulivohitimisha
 
h
Natumai hamjambo wanabodi.

Wakuu hawa viumbe wa kuitwa wanawake ni viumbe wa ajabu sana, kuna dada mmoja mwenye watoto 5 alitelekezwa na mumewe maisha yakampiga mpaka basi... kwa kua mungu ni mwema, akamkutanisha na mwanaume mwenye pesa japo ana tatizo la nguvu za kiume...

Mwanaume alimueleza yule dada matatizo yake na akamwambia kama anaridhia basi amuoe, yule dada akakubali kuolewa na maisha yakafana sana.

Badae huyu dada akapata mchepuko ukawa unamgegeda, alivyo mjinga akasahau shida alizopitia akaamua kutoka kwa mwanaume anaemlelea familia yake bila shida akahamia kwa mchepuko ambae hana mbele wala nyuma.

Sasa maisha yamempiga analala njaa na familia yake anatamani arudi kwa yule bwana bt ndo haiwezekani tena, wanawake kuweni makini sana mfanyapo maamuzi juu ya maisha yenu, ni bora ukawa na mchepuko wa kukutoa ham huku upo kwako.

Huyu dada ukimuona anatia huruma sana, anaokena kama mzee akati ni dada wa miaka 30 pekee.
how come unapesa halafu huna nguvu za kiume ...hahahaa hayo ni matumizi mabaya ya pesa
 
Back
Top Bottom