Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Yes inawezekana kabisa yupo mmoja namfaham ana miaka 31 ana watoto 6 Je huyo wa miaka 30 watoto 5 inashndkana?? Imagine binti ameolewa ana miaka 16 mpaka anafikisha miaka 30 upo uwezekano wa kufikisha watoto 5 pia kumbuka kuna kuzaa mapacha pia
Basi nikaona ni chai za mleta uzi😅😅
 
Natumai hamjambo wanabodi.

Wakuu hawa viumbe wa kuitwa wanawake ni viumbe wa ajabu sana, kuna dada mmoja mwenye watoto 5 alitelekezwa na mumewe maisha yakampiga mpaka basi... kwa kua mungu ni mwema, akamkutanisha na mwanaume mwenye pesa japo ana tatizo la nguvu za kiume...

Mwanaume alimueleza yule dada matatizo yake na akamwambia kama anaridhia basi amuoe, yule dada akakubali kuolewa na maisha yakafana sana.

Badae huyu dada akapata mchepuko ukawa unamgegeda, alivyo mjinga akasahau shida alizopitia akaamua kutoka kwa mwanaume anaemlelea familia yake bila shida akahamia kwa mchepuko ambae hana mbele wala nyuma.

Sasa maisha yamempiga analala njaa na familia yake anatamani arudi kwa yule bwana bt ndo haiwezekani tena, wanawake kuweni makini sana mfanyapo maamuzi juu ya maisha yenu, ni bora ukawa na mchepuko wa kukutoa ham huku upo kwako.

Huyu dada ukimuona anatia huruma sana, anaokena kama mzee akati ni dada wa miaka 30 pekee.
Mkuu pole kwa yalitokukuta.
Muone dokta Mwaka anaweza kutatua tatizo lako[emoji846][emoji846]
 
Mbona hata nyie mnachepuka hata mkipewa kila kitu,so sioni Cha kumlaumu hapo, ujinga wake ni alishindwa kula na kipofu hafu hajielewi inakuwaje mama watoto watano Hana akili hivo Wala hafikirii future ya wanawe!
mkuu nyie wanawake ni wajinga baadhi ya nyakati yaani mtu anathamini mgegedo kuliko familia yake
 
Yes inawezekana kabisa yupo mmoja namfaham ana miaka 31 ana watoto 6 Je huyo wa miaka 30 watoto 5 inashndkana?? Imagine binti ameolewa ana miaka 16 mpaka anafikisha miaka 30 upo uwezekano wa kufikisha watoto 5 pia kumbuka kuna kuzaa mapacha pia
Itakuwa huko vijijini maana watu wanaolewa wadogo na kuzaa watoto hata kumi, huku mjini umri huo mtu hata hajaolewa
 
Nilikuaga na mpenzi wangu mmoja huko nyuma, Hatukua tukikaa pamoja yeye kwake mimi kwangu,huwa akitaka kwenda saloon kutengeneza nywele kusuka kutengeneza kucha nk alikua anakuja saloon Kwangu (nina saloon classic safi sana kwa ajili ya kina dada)

na niliifunguaga hii saloon kutokana na hasira za kuombwa hela za saloon,kucha kila wiki/mwezi basi nikawaza sana nikaema hizi hela ninazotoa Je ningekua na saloon zingenitoka? nikaona hataaa haiwezekani acha nifungue Kwani sh.ngapi "nikafungua" ndani vitu vya saloon nikawa naweka vile Classic kwasababu lengo langu halikua wateja bali ni Mpenzi wangu aende pata huduma hapo

hela yangu isipoteee shida zipungue,Huyu dada nikamtambulisha kwa wafanyakazi saloon wakamjua kama ndio Shemeji/wifi Boss tena,si unajua zile...

akawa akienda saloon bili yake nawambia nitalipa mimi kwahyo isije tokea hata siku 1 nikaskia kadaiwa hela,basi bana yeye akawa anaenda saloon kufanya kila anachojiskia,hamna wakumuuliza si unajua Baby wake Boss tena.

unajua ktk mahusiano mengi sana huwa n kama TUITION so yule shost tulikuja kupshana mahali ktk mambo yetu wenyewe kila mtu akaridhia afate mambo yake.

Tukawa hatusalimiani hatutumian msg wala hamna kitu mzee kimya kimya,sasa ktk kipiindi nilipokuja gundua akili za wanawake ni sometimes yes smetimes NO ni hapa...

Kumbe bana mwenzaangu utaratbu wa kwenda saloon kutengeneza kucha/nywele/make up/kupga pcha anao kama kawaida anauendeleza na Unajua wafanyakazi hawawezi mkataza kwasababu hawaelewi kitu na ruhusa ya yeye kwenda pale si mimi mwenyewe nilisharuhusu bana.

siku 1 nikasafiri kama wiki 3 hv sikua mjini,hesabu zangu huwa nachukuaga kwa wiki,niliporudi siku ya kupewa hesabu napewa na bili ya yule bi shost wangu,Nikawauliza kwan bado anakujaga hapa? wakajibu ndio anakujaga sana tu kila baada ya siku 3 anakuja either kuosha au kubadlisha rangi kucha.

sikuongea kitu,nikawambia sasa naomba mnisikilize Huyu si mpenzi wangu tena,naomba kuanzia leo atakapokuja mum treat kama mteja wa kawaida na awalipe hela zenu hata akigusa kitana kama n hela Awalipe tu,nimeeleweka!? wakajibu "Ndio mzeee"

Nimetoka kuwapa somo leo asubuhi,mchana Bi shost huyo kodo kodo kodo kaingia saloon wakamkaribisha kwa mbwe mbwe zote,wakamuhudumia mwanzo mwisho Yani alihudumiwa hiyo siku kama V.V.I.P haya kamaliza hudumiwa anapewa bili inatakiwa 70k yani wanaume wanaisema elufu sabini (70,000)

Dada anabaki anawatolea macho anawauliza eti "yanini" basi kuna msusi wangu mmoja nyoko huyo anasuta mithili ya mdada wa mombasa,akikutukana tusi n lile lile ila jinsi anavyolitamka unaweza ukafkiri ni JIPYA,akamuamkia.

Bwana weee walizozazana humo ndani mwisho nipo zangu kazini naona simu ya Shost inaingia nikajua huyu tayari kanasa,akipiga simu nakata,maana nisipopokea atahisi labda nipo mbali na simu basi nikawa nakata ili ajue nipo na simu ila sitaki kupokea.

Huko saloon walichukuana mguu kwa mguu hadi ATM b shost katoa 70000 ya watu ila kanuna mbaya mbovu,hazijaisha hata wiki bi dada karudi anaomba msamaha, Nikajua huyu mwanaharamu narudi ana lake..nikamtia block na kumpa makavu live.

Wanawake hawa waone tu hapo wanatembea wazuriiiii ila bana ukikutana na liparachichi mbona unaweza ukatamani ungekua hata na Asha boko kijulikane kimoja.
Ila na wewe hauko serious biashara umeianzisha hafu unsingiza mapenzi mtu ahudumiwe bure bure kisa mapenzi hapo si ndo mwanzo wa kufilisika, mie tukutane huko kimahusiano linapokuja swala la biashara ka mita Mia moja na na niikitaka huruma natoa hela ka mteja Sasa usipofanya hivo biashara itakuwaje, hafu eti aje mpenzi ndio iwe bure, haki dhubutu, Tena wewe ingetakiwa uwe unampa hela alipe cash, ukiendekeza mapenzi na biashara Ni hatari maana hata huyo dada hakuwa na akili siku mbili anabadilisha rangi kuchani inaonyesha hakuwa busy Sana Hadi mda wa kupoteza akawa nao.
 
Itakuwa huko vijijini maana watu wanaolewa wadogo na kuzaa watoto hata kumi, huku mjini umri huo mtu hata hajaolewa
mkuu hata hapa mjini wapo mbona, ukiwatoa wadada waliofika chuo wale wote walokomea f4 na la 7 wanaolewa wakiwa na miaka 18-20 na wana watoto 3-5.
 
mkuu hata hapa mjini wapo mbona, ukiwatoa wadada waliofika chuo wale wote walokomea f4 na la 7 wanaolewa wakiwa na miaka 18-20 na wana watoto 3-5.
Labda waswahili wanaofundwa unyago aisee ndo rahisi hivo kukimbilia kuzaa hao ndio wanaosabisha watoto wa mtaani imagine huyo mwanamke uliye mwandika hapa, Hana kipato Ila kila siku anazaa huoni kuwa anatesa watoto, na kitega uchumi chake ni kudanga kwa wanaume, Ni heri angefunga kizazi huyo
 
Ila na wewe hauko serious biashara umeianzisha hafu unsingiza mapenzi mtu ahudumiwe bure bure kisa mapenzi hapo si ndo mwanzo wa kufilisika, mie tukutane huko kimahusiano linapokuja swala la biashara ka mita Mia moja na na niikitaka huruma natoa hela ka mteja Sasa usipofanya hivo biashara itakuwaje, hafu eti aje mpenzi ndio iwe bure, haki dhubutu, Tena wewe ingetakiwa uwe unampa hela alipe cash, ukiendekeza mapenzi na biashara Ni hatari maana hata huyo dada hakuwa na akili siku mbili anabadilisha rangi kuchani inaonyesha hakuwa busy Sana Hadi mda wa kupoteza akawa nao.
Ni kweli hakua busy maana alikua muajiriwa, kuhusu saloon kwangu mimi ndio

ilikua option bora kuliko zingine na uzuri wake n kwamba saloon sio kama biashara

ya duka la vitu useme atachukua vitu vitaisha ila pia wakat nipo nae bili yake nilikua nalipa

kwahyo n yale yale kama nikimpa hela au nikilipia mimi mwenyewe hamna utofaut wwte.
 
The Boss
Nliscreen shoot hi comment yako
Sio rahisi mtu kukuelewa
Screenshot_20200811-205014.jpg
 
Ni kweli hakua busy maana alikua muajiriwa, kuhusu saloon kwangu mimi ndio

ilikua option bora kuliko zingine na uzuri wake n kwamba saloon sio kama biashara

ya duka la vitu useme atachukua vitu vitaisha ila pia wakat nipo nae bili yake nilikua nalipa

kwahyo n yale yale kama nikimpa hela au nikilipia mimi mwenyewe hamna utofaut wwte.
Honestly Mimi biashara na mapenzi mbalimbali wallah
 
Wanawake wanashikiwa akili na shetani mkuu, unaweza kumweleza ujinga wako wote unaofanya bila kuficha na baadae ukiomba mbunye anakupa na mtoto anakuzalia.
 
Nilikuaga na mpenzi wangu mmoja huko nyuma, Hatukua tukikaa pamoja yeye kwake mimi kwangu,huwa akitaka kwenda saloon kutengeneza nywele kusuka kutengeneza kucha nk alikua anakuja saloon Kwangu (nina saloon classic safi sana kwa ajili ya kina dada)

na niliifunguaga hii saloon kutokana na hasira za kuombwa hela za saloon,kucha kila wiki/mwezi basi nikawaza sana nikaema hizi hela ninazotoa Je ningekua na saloon zingenitoka? nikaona hataaa haiwezekani acha nifungue Kwani sh.ngapi "nikafungua" ndani vitu vya saloon nikawa naweka vile Classic kwasababu lengo langu halikua wateja bali ni Mpenzi wangu aende pata huduma hapo

hela yangu isipoteee shida zipungue,Huyu dada nikamtambulisha kwa wafanyakazi saloon wakamjua kama ndio Shemeji/wifi Boss tena,si unajua zile...

akawa akienda saloon bili yake nawambia nitalipa mimi kwahyo isije tokea hata siku 1 nikaskia kadaiwa hela,basi bana yeye akawa anaenda saloon kufanya kila anachojiskia,hamna wakumuuliza si unajua Baby wake Boss tena.

unajua ktk mahusiano mengi sana huwa n kama TUITION so yule shost tulikuja kupshana mahali ktk mambo yetu wenyewe kila mtu akaridhia afate mambo yake.

Tukawa hatusalimiani hatutumian msg wala hamna kitu mzee kimya kimya,sasa ktk kipiindi nilipokuja gundua akili za wanawake ni sometimes yes smetimes NO ni hapa...

Kumbe bana mwenzaangu utaratbu wa kwenda saloon kutengeneza kucha/nywele/make up/kupga pcha anao kama kawaida anauendeleza na Unajua wafanyakazi hawawezi mkataza kwasababu hawaelewi kitu na ruhusa ya yeye kwenda pale si mimi mwenyewe nilisharuhusu bana.

siku 1 nikasafiri kama wiki 3 hv sikua mjini,hesabu zangu huwa nachukuaga kwa wiki,niliporudi siku ya kupewa hesabu napewa na bili ya yule bi shost wangu,Nikawauliza kwan bado anakujaga hapa? wakajibu ndio anakujaga sana tu kila baada ya siku 3 anakuja either kuosha au kubadlisha rangi kucha.

sikuongea kitu,nikawambia sasa naomba mnisikilize Huyu si mpenzi wangu tena,naomba kuanzia leo atakapokuja mum treat kama mteja wa kawaida na awalipe hela zenu hata akigusa kitana kama n hela Awalipe tu,nimeeleweka!? wakajibu "Ndio mzeee"

Nimetoka kuwapa somo leo asubuhi,mchana Bi shost huyo kodo kodo kodo kaingia saloon wakamkaribisha kwa mbwe mbwe zote,wakamuhudumia mwanzo mwisho Yani alihudumiwa hiyo siku kama V.V.I.P haya kamaliza hudumiwa anapewa bili inatakiwa 70k yani wanaume wanaisema elufu sabini (70,000)

Dada anabaki anawatolea macho anawauliza eti "yanini" basi kuna msusi wangu mmoja nyoko huyo anasuta mithili ya mdada wa mombasa,akikutukana tusi n lile lile ila jinsi anavyolitamka unaweza ukafkiri ni JIPYA,akamuamkia.

Bwana weee walizozazana humo ndani mwisho nipo zangu kazini naona simu ya Shost inaingia nikajua huyu tayari kanasa,akipiga simu nakata,maana nisipopokea atahisi labda nipo mbali na simu basi nikawa nakata ili ajue nipo na simu ila sitaki kupokea.

Huko saloon walichukuana mguu kwa mguu hadi ATM b shost katoa 70000 ya watu ila kanuna mbaya mbovu,hazijaisha hata wiki bi dada karudi anaomba msamaha, Nikajua huyu mwanaharamu narudi ana lake..nikamtia block na kumpa makavu live.

Wanawake hawa waone tu hapo wanatembea wazuriiiii ila bana ukikutana na liparachichi mbona unaweza ukatamani ungekua hata na Asha boko kijulikane kimoja.

Aisee
 
Labda waswahili wanaofundwa unyago aisee ndo rahisi hivo kukimbilia kuzaa hao ndio wanaosabisha watoto wa mtaani imagine huyo mwanamke uliye mwandika hapa, Hana kipato Ila kila siku anazaa huoni kuwa anatesa watoto, na kitega uchumi chake ni kudanga kwa wanaume, Ni heri angefunga kizazi huyo
mkuu wadada wasio na shule wanamtihani sana alafu hata hawajionei huruma
 
Back
Top Bottom