Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,188
- 124,862
[emoji16][emoji16][emoji16] kaka yangu naona umeamua kunitukanaTeh teh, tena msomi mbobezi
[emoji16][emoji16][emoji16] kaka yangu naona umeamua kunitukanaTeh teh, tena msomi mbobezi
Nadhani malezi huchangiaHana akili, zero brain
mkuu haya matatizo ya nguvu za kiume yanawakabili sana wenye pesa, utakuta anauwezo wa kuzalisha bt nguvu za kiume mtihani, mungu hakupi vyote.h
how come unapesa halafu huna nguvu za kiume ...hahahaa hayo ni matumizi mabaya ya pesa
rightNadhani malezi huchangia
kuna option nyingi sana za kutafuta solution kama ukiwa na hela sema watanzania walio wengi hawataki kwenda hospitali..yaani ukiwa na pesa mambo haya ni madogo sana nenda hsospitali tuu kwisha habari yakemkuu haya matatizo ya nguvu za kiume yanawakabili sana wenye pesa, utakuta anauwezo wa kuzalisha bt nguvu za kiume mtihani, mungu hakupi vyote.
hii inaitwa mwanakulifind mwanakuliget.... sometimes ni tamaa tu mungu amsaidieNatumai hamjambo wanabodi.
Wakuu hawa viumbe wa kuitwa wanawake ni viumbe wa ajabu sana, kuna dada mmoja mwenye watoto 5 alitelekezwa na mumewe maisha yakampiga mpaka basi... kwa kua mungu ni mwema, akamkutanisha na mwanaume mwenye pesa japo ana tatizo la nguvu za kiume...
Mwanaume alimueleza yule dada matatizo yake na akamwambia kama anaridhia basi amuoe, yule dada akakubali kuolewa na maisha yakafana sana.
Badae huyu dada akapata mchepuko ukawa unamgegeda, alivyo mjinga akasahau shida alizopitia akaamua kutoka kwa mwanaume anaemlelea familia yake bila shida akahamia kwa mchepuko ambae hana mbele wala nyuma.
Sasa maisha yamempiga analala njaa na familia yake anatamani arudi kwa yule bwana bt ndo haiwezekani tena, wanawake kuweni makini sana mfanyapo maamuzi juu ya maisha yenu, ni bora ukawa na mchepuko wa kukutoa ham huku upo kwako.
Huyu dada ukimuona anatia huruma sana, anaokena kama mzee akati ni dada wa miaka 30 pekee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Manabii wa mungu waliandika mengi Sana,page zote za Bible na hawakuchoka
Lakini kuhusu wao iliishia kusema tuishi nao kwa akili.
mkuu kuna matatizo mengine ni sugu yapo nje ya uwezo wa kibinadam, unakuta mtu kashaenda kila pahala bt wapi, si kila jambo linpatiwa suluhu na pesa.ku
kuna option nyingi sana za kutafuta solution kama ukiwa na hela sema watanzania walio wengi hawataki kwenda hospitali..yaani ukiwa na pesa mambo haya ni madogo sana nenda hsospitali tuu kwisha habari yake
right, nadhani tamaa ndo hutufanya wanadam tupate majuto ya muda mrefuhii inaitwa mwanakulifind mwanakuliget.... sometimes ni tamaa tu mungu amsaidie
mkuu nyie wanawake ni wajinga baadhi ya nyakati yaani mtu anathamini mgegedo kuliko familia yake
hakuna tatizo sugu katika uwezo wa mwanaume kusimamisha na kufanya tendo hata wale wenye erectile dysfunction yaani ambao uume hausimami kabisa wanatibikamkuu kuna matatizo mengine ni sugu yapo nje ya uwezo wa kibinadam, unakuta mtu kashaenda kila pahala bt wapi, si kila jambo linpatiwa suluhu na pesa.
msemaji wa chama cha wanawake katika kazi ya utetezi hahaHii ya kitu ya kuthamini mgegedo kuliko familia umeiona kwa wanawake tu? Nadhani kuna viumbe vinaongoza kwa kutelekeza familia na wazazi kisa....
mkuu ipo pande zote bt mtu ukishajua umesitiriwa pahala ni bora ukafanya mambo kimyaHii ya kitu ya kuthamini mgegedo kuliko familia umeiona kwa wanawake tu? Nadhani kuna viumbe vinaongoza kwa kutelekeza familia na wazazi kisa....
mkuu acha kubisha, kuna watu wametibiwa mahospital mpaka wamechoka na matatizo yao yapo vile vile.hakuna tatizo sugu katika uwezo wa mwanaume kusimamisha na kufanya tendo hata wale wenye erectile dysfunction yaani ambao uume hausimami kabisa wanatibika
mkuu ipo pande zote bt mtu ukishajua umesitiriwa pahala ni bora ukafanya mambo kimya
Hahaaa hamna my dada, your writings and arguments speak a lot!![emoji16][emoji16][emoji16] kaka yangu naona umeamua kunitukana
[emoji1787][emoji1787]haya bwanaHahaaa hamna my dada, your writings and arguments speak a lot!!