JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Naomba tuweke heshima ya forum hii mbele. dada zangu naomba mnisamehe, nawaheshimu.
Jamani hapa jamboforums kumezuka tabia ambayo inataka kuota mizizi. Tabia hiyo ni ya kushutumu wanawake waliofanikiwa kielimu, kiuongozi na kisiasa, kwamba wamepata mafanikio hayo kwa kutumia miili yao.
kuna mambo ya ajabu hapa yametokea hapa jambo forums. Kwa mfano, wanachama tofauti hapa wamedai kiongozi mmoja kutembea na ndugu wa familia moja.
Yaani hata wale ambao wanaonekana wana qualifications bado wanashutumiwa kwa kugawa ngono hata udini, ukabila, kujuana, havipewi nafasi.
jamani naomba busara zetu sote wanajambo forums katika kulitafakari suala hili.
NB:
..Augustino Mosha na Dr.Kichuguu nawaomba mchango wenu.
..Mwanakijiji,KadaMpinzani tuleteeni mtizamo wenu kupitia vyama vya siasa.
..Field Marshal ES, Mzee Mkandara, wazee wa meli, watoto wa mjini. Kuna mengi mnayajua nyinyi.
Mwafrika wa Kike tupe mchango wako.
Jamani hapa jamboforums kumezuka tabia ambayo inataka kuota mizizi. Tabia hiyo ni ya kushutumu wanawake waliofanikiwa kielimu, kiuongozi na kisiasa, kwamba wamepata mafanikio hayo kwa kutumia miili yao.
kuna mambo ya ajabu hapa yametokea hapa jambo forums. Kwa mfano, wanachama tofauti hapa wamedai kiongozi mmoja kutembea na ndugu wa familia moja.
Yaani hata wale ambao wanaonekana wana qualifications bado wanashutumiwa kwa kugawa ngono hata udini, ukabila, kujuana, havipewi nafasi.
jamani naomba busara zetu sote wanajambo forums katika kulitafakari suala hili.
NB:
..Augustino Mosha na Dr.Kichuguu nawaomba mchango wenu.
..Mwanakijiji,KadaMpinzani tuleteeni mtizamo wenu kupitia vyama vya siasa.
..Field Marshal ES, Mzee Mkandara, wazee wa meli, watoto wa mjini. Kuna mengi mnayajua nyinyi.
Mwafrika wa Kike tupe mchango wako.