Wanawake na magari


mhm. kuna uwezekano mkubwa kuwa wee ng'ong'ozo.
 
Nabado mdada akikamatwa na trafik utaona anapiga simu kwa mume wake au mpenziwe ili aongee na trafik au aambiwe afanyaje hehehe huwa nacheka sana

 
Yaani wewe ume summarise nilichokuwa namaanisha. Asante sana kwa mchango wako, pamoja sana mpe hi 5 wife wako.
 
Utamu wa Kasinde anaujua Athumani msumeno mranda mbao, wakati tuko wadogo tulikuwa tunaimba, "Athumani nipasulie mbao aliakwechee kwechee alia kwechee msumeno". Ulikuwa unamaanisha matusi yaaniAthumanianavoranda au kupasua mbao kwa msumeno ndo sawa na jamaa ana msrew Asha
Kasinde utakua kitandani mtamu sana ikiwa kama tyre tu unabadirsha wewe mwenyewe!!
kwa kukujibu tu ni mindset wangu wanawake wengi si unajua ni legelege so vitu vya mechanics kwao inakua ngumu kumeza
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha wakati nasoma driving school somo la riverse ilikuwa mtihani ila now days naweza rudi nyuma kwa kuendesha barabara yote ile ya samora niko fit God knows.
Wengi wao wanafahamu kuendesha kwenda mbele tu, shughuli huwa shughulini wakitakiwa kurudi kinyume nyume sehemu finyu au hata kwenye msongamano kama Mijini. Mmmmhhh tunaona mengi
 
Hayajakukuta yakikukuta aibu kulee na spana unashika menyewee

Ninavyodeka mtotto wa kike nianze tu kushika jeki eti nafunga tyre kwanza naona aibu.na jikon nani afanye.
 
Nilishawahi kulala kwenye gari as kitanda ila ilikuwa msibani enzi hizo nilipata mateka tukajimuvuzisha kwenye noah all night long...
Wewe yako ilikuwajee

Ww umewahi kugeuza gari kitanda?
 
vpi umerudi lini kutoka kwa Obama au unaongele ukiwa uko
Jamani mbona siku nyingi tuu kuna uzi ulikuwa unasema narudi kwetuu nyumbanii. Saa hizi nshaanza kuzichanga kwa ajili ya likizo mwakani full kutalii
 
Nilishawahi kulala kwenye gari as kitanda ila ilikuwa msibani enzi hizo nilipata mateka tukajimuvuzisha kwenye noah all night long...
Wewe yako ilikuwajee

Mm hata kesho nkikupata ww lazima cku 1 tulaze viti kwny gari
 
Nna hobby sana na simu yaani hivi naisubiria iphone 6 itoke niikamate, gari si kivile hivo ni hayahaya niliyonayo 2 siongezi labda yachoke niuze au nigawe ndo ninunue jingine. Dogodogo la mjini haapa kazini na sokoni na ndinga au grand la safari za nje ya mji na week ends au mitoko ya harusi.

Fundi atafanya service ya gari, atabadili spair iliyoharibika hivo kazi hatakosa hizi ndogo ndogo namaliza mwenyewe.

Unataka ku jog na Kasie, jiandae J3 saa kumi na moja sharp ukichelewa sikusubiri utanikuta mbele. Hv bado unapaki palepale? Ntakuzukia parking soon.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…