Wanawake na magari

Wanawake na magari

maji kwenye rejeta halafu kaacha mfuniko wazi!!!! maji yote yakaisha yeye anaendesha tu mpaka gari imezimika!!!

lakini ndiyo kublow engine mkuu, maana hizi gari za sasa hivi ikioverheat inazimika tu na hauiepeleki popote mpaka ipoe, ina maana kwa yeye ingezima akaanza kumpigia hani wake kuja kucheki tatizo. na yeye alikuwa anaongeza maji kwenye gari mpya ili iweje? na nani alimfundisha kuwa wanaongeza maji kwenye gari na akamwonesha pa kutia, labda kama hiyo gari ilikuwa ya mwaka 47!
 
Mmhhh naomba nisaidie kujibu, kwanza mbona mfukunyunyu hivo? Wewe ni mgeni yerusalemu? Kwa ufupi kibongobongo gari mpya ni used from Japan. Huwa nyingine zinakuwa in good condtition, used as new ila nyingine zinakuwa na hitilafu kama kwenye rejeta, tairi, shokapu and the like. Gari mpya kabisa kibongobongo wachache wenye uwezo nazo.
lakini ndiyo kublow engine mkuu, maana hizi gari za sasa hivi ikioverheat inazimika tu na hauiepeleki popote mpaka ipoe, ina maana kwa yeye ingezima akaanza kumpigia hani wake kuja kucheki tatizo. na yeye alikuwa anaongeza maji kwenye gari mpya ili iweje? na nani alimfundisha kuwa wanaongeza maji kwenye gari na akamwonesha pa kutia, labda kama hiyo gari ilikuwa ya mwaka 47!
 
1. Kwanza, hongera kwa kuwa tumejua unamiliki gari...

2. Pili, si kila jambo ulijualo wewe wengine wanafahamu na ndio maana hata vidole vya kiganjani havifanani...

3. Tatu, hivi siku hizi hufanyi tena mazoezi ya kukimbia hadi morocco?

Kashfa ya reja reja
 
Mmhhh naomba nisaidie kujibu, kwanza mbona mfukunyunyu hivo? Wewe ni mgeni yerusalemu? Kwa ufupi kibongobongo gari mpya ni used from Japan. Huwa nyingine zinakuwa in good condtition, used as new ila nyingine zinakuwa na hitilafu kama kwenye rejeta, tairi, shokapu and the like. Gari mpya kabisa kibongobongo wachache wenye uwezo nazo.

hahahaa, nashukuru kwa ufafanuzi mamaa Kasinde
 
Last edited by a moderator:
Napata picha unabadilisha tairi,nahisi utakuwa na misuli misuli kama Vanessa Williams
 
lakini ndiyo kublow engine mkuu, maana hizi gari za sasa hivi ikioverheat inazimika tu na hauiepeleki popote mpaka ipoe, ina maana kwa yeye ingezima akaanza kumpigia hani wake kuja kucheki tatizo. na yeye alikuwa anaongeza maji kwenye gari mpya ili iweje? na nani alimfundisha kuwa wanaongeza maji kwenye gari na akamwonesha pa kutia, labda kama hiyo gari ilikuwa ya mwaka 47!

bro bongo hapa gari mpya ni used japan/uk etc.....
 
Kwa hapa inakuwa issue ya mwanamke kushindwa huo siyo ubaguzi na unyanyasaji.kwanza kuvaa nusu kuwa na kucha bandit yahusu nini? Hivi kama una fedha kwa nini ulale ChinI ya gari na kuangaika kubadilishana tairi yenye pancha? Wakati vijana wenye kazi hiyo wamenjaa barabarani kila mahali, kazi ya fedha ni nini kama zipo?kina mama tunafanya kazi kwa bidii sana tusijidhalilishe kuchafuka kujipamba chini ya magari au kubadili matairi hiyo siyo maana ya 50/50
 
Kwa hapa inakuwa issue ya mwanamke kushindwa huo siyo ubaguzi na unyanyasaji.kwanza kuvaa nusu kuwa na kucha bandit yahusu nini? Hivi kama una fedha kwa nini ulale ChinI ya gari na kuangaika kubadilishana tairi yenye pancha? Wakati vijana wenye kazi hiyo wamenjaa barabarani kila mahali, kazi ya fedha ni nini kama zipo?kina mama tunafanya kazi kwa bidii sana tusijidhalilishe kuchafuka kujipamba chini ya magari au kubadili matairi hiyo siyo maana ya 50/50

we ni mrembo kuzidi hawa?

166946_125769367543910_1732898672_n.jpg
wanawake wenye mawazo finyu kama wako ni wale wasio active, kwa ligha nyingine tunawaita "nyenyenye", hata akikaa jikonni anapika kila kitu anamtuma dada wa kazi, kuchukula mwiko tu.."halima nipe mwiko, halima nifungie hilo bomba, halima nifanyie nivue soksi"! wapo wanawake wa shoka ninawafahamu wengi sana, na hizo pesa wanazo na wanachapa kazi ukimkuta hana mchezo yuko mstari wa mbele kuonesha mfano, dereva wa basi lake akimzingua ananyang'anya funguo anapiga gia mwenyewe, lakini asilimia kubwa ni nyenyenye tu..eti kubadili taili ya gari atachafuka, wanaume hatuchafuki?..au wanaume hatuna pesa?! mwanamke wa kweli ni mwenye kujiamini, kujiamini ni pamoja na kukataa unyenyenye!
 
Napata picha unabadilisha tairi,nahisi utakuwa na misuli misuli kama Vanessa Williams

hizo picha zilizowekwa humu umeona wadada wanamisuli? after all kuna walioniona how I appear check nao wakuelezee Kasinde yuko vp......... ukikwama refer my avatar!!
 
Back
Top Bottom