CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
maji kwenye rejeta halafu kaacha mfuniko wazi!!!! maji yote yakaisha yeye anaendesha tu mpaka gari imezimika!!!
lakini ndiyo kublow engine mkuu, maana hizi gari za sasa hivi ikioverheat inazimika tu na hauiepeleki popote mpaka ipoe, ina maana kwa yeye ingezima akaanza kumpigia hani wake kuja kucheki tatizo. na yeye alikuwa anaongeza maji kwenye gari mpya ili iweje? na nani alimfundisha kuwa wanaongeza maji kwenye gari na akamwonesha pa kutia, labda kama hiyo gari ilikuwa ya mwaka 47!