we ni mrembo kuzidi hawa?
View attachment 183687
wanawake wenye mawazo finyu kama wako ni wale wasio active, kwa ligha nyingine tunawaita "nyenyenye", hata akikaa jikonni anapika kila kitu anamtuma dada wa kazi, kuchukula mwiko tu.."halima nipe mwiko, halima nifungie hilo bomba, halima nifanyie nivue soksi"! wapo wanawake wa shoka ninawafahamu wengi sana, na hizo pesa wanazo na wanachapa kazi ukimkuta hana mchezo yuko mstari wa mbele kuonesha mfano, dereva wa basi lake akimzingua ananyang'anya funguo anapiga gia mwenyewe, lakini asilimia kubwa ni nyenyenye tu..eti kubadili taili ya gari atachafuka, wanaume hatuchafuki?..au wanaume hatuna pesa?! mwanamke wa kweli ni mwenye kujiamini, kujiamini ni pamoja na kukataa unyenyenye!