Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
one of those ya havin wuld suit me too...
How about cocktail????.......lol hata sijui kama nimepatia spelling
one of those ya havin wuld suit me too...
Robertson winery natural sweet red karibuu, would u like with ice?
hujakosea...but what type of it?
halafu mshikaji mbona hujibu swali langu...unaniudhi ujue
Tupite wote..na mim hayanihusu
Jitahidini wenzenu wanajitahidi mpaka wanananunuliwa hahaha (jus joking)
Pinacolado.Swali lipi hilo?Hebu niulize tena
I like sweet things for sure, but am not sure if am that sweet looh, you got a glass of ur choice, enjoy!!
ushalijibu mpendwa, umenambia ulikuwa watania...
Sasa mbona mambo ya gizani unayaleta huku jamani?????.....lol
Umenikumbusha sister angu mmoja alisha wahi kunokisha engine ya gari hata haina week... kisa kajifanya siku hiyo kufungua boneti kaweka maji kasahau kufungu mfuniko... kakanyaga mafuta na safar zake mpaka gari likazimika
1. tie rod end/ball joint etc ikikatika sio mwanamke tu hata mwanaume huna ujanja,utapaki pembeni utaita wenye kazi yao....fundi labda wewe mwenyewe uwe fundi magari.
2.pancha inahitaji uzoefu,kuna wanaume wanapata pancha nao hawajui mpaka unamshtua kwahio unahitaji kauzoefu fulani kuhisi mabadiliko kwenye gari yako na si kila mtu ana uwezo huo.
kuna wanaume wengi tu hawawezi kubadili tairi,wakipata pancha utawaonea huruma wanavyohangaika wakikosa mtu wa kuwatolea....
alikuwa anaweka maji kwenye nini? una uhakika gari haikuwa na wiki mkuu?