chief1
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,418
- 1,455
eee ndo ivyo hahaha,achana na john dumelonakuja asee kumbe kina john wapo wengi hivyo![]()
![]()
![]()
eee ndo ivyo hahaha,achana na john dumelonakuja asee kumbe kina john wapo wengi hivyo![]()
![]()
![]()

Mbona mimi nimemzidi dumelo mvuto lakini sipendwi sasa...Hahah... Ila wana mvuto
Jichagulie adhabu mwenyewe....Me yote 9, kumi ni ile style yao wakivaa mashati/ masweta (haswa William) afu wanayavuta/kuyakunja hadi kwenye pande za kiwiko hivi. Yani nafwarikiz kabisaaz (kameshakuwa ka ugonjwa haka nahisi lol)![]()
![]()
![]()
Haha jirani nini tena? Kimini hakikukukonga nyoyo ama?Jichagulie adhabu mwenyewe....
Hukuja without afu ukanichomesha mahindi... kule na PM.Haha jirani nini tena? Kimini hakikikukonga nyoyo ama?
Hahaha babu labda wewe ndo hukutokea koteHukuja without afu ukanichomesha mahindi... kule na PM.
hahhahahahhahah....Hapo kwenye list muongeze na Le mutuz
Daaaaa! Hii itanifanya nishushe nondo zangu zote jukwaaniWallah kunawanaume mungu kawapendelea jmn,yaan wanamvuto balaa mpk ukilala unavuta hisia km vile ungekua nae.BTW hata humu kuna wanaume ukisoma michangoyao unataman uwenae.lakin ndo.....
Mwanaume mthaf bwana ananoga!! co unakuta jianaume linanuka nguvu akuuuuukila MTU shoga ana vionjo vyake yaan pamoja na sifa hizo zoote mm ugonjwa wangu ni mwanaume msafiiii loh hapa uwa sinaga ujanja

![]()
![]()
![]()
Chaka mkuu.
Simpendi kabisa huyo jamaa.
Daaaaa! Hii itanifanya nishushe nondo zangu zote jukwaani




Atakuwa #Nyani ngabu# fisi mzee
Heheheeee eti kanuka kwapaNaah...kenyewe kameshasema eti hakanipendi [as if mimi nakapenda...kwanza usikute ni kanuka kwapa tu😀. Halafu hata sikajui na wala hakanijui.].
But then again you know what man...those who profess their dislike of me are the ones who can't even contain their eagerness to read what I write let alone keep my name out of their mouths.
They are closeted card-carrying members of my fan-club.
I love 'em all.

