Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Atakuwa #Nyani ngabu# fisi mzee
Chaka mkuu.
Simpendi kabisa huyo jamaa.
Atakuwa #Nyani ngabu# fisi mzee
Basi nitakutajia pm![]()
![]()
![]()
![]()
Chaka mkuu.
Simpendi kabisa huyo jamaa.
Awe na uwezo mkubwa wa akili na maarifa mengi.Akili kubwa how??
KaribuBasi nitakutajia pm

anaanzia na herufi ganiNikimtaja nitasababisha taharuki kubwa...nami sitaki iwe hivyo.
Hakuna atakayeweza kumjua aiseee
Hapo kwenye list muongeze na Le mutuz
jamani nimecheka le super mbebez havumi lakini yumoKwenye marichui alikua anaitwa Juan Miguel San Roman,kasababisha mpk ndoa jlo na Marc Anthony ifeHahah... Ila wana mvuto
Hahah... Ila wana mvuto
Tumewaona kwenye tamthilia.. Tabia/behavior ya kiume huna haja ya kuishi na mtu siku nyingi sana ili uione,ts js there..Unawezaje kujua tabia ya mtu wakati hujaishi nae
Ndoa ya jlo na marc Anthony ili vunjwa na dancer wakiume wa jlo na sio levy..Kwenye marichui alikua anaitwa Juan Miguel San Roman,kasababisha mpk ndoa jlo na Marc Anthony ife
Yale ni maigizo lakiniTumewaona kwenye tamthilia.. Tabia/behavior ya kiume huna haja ya kuishi na mtu siku nyingi sana ili uione,ts js there..
Ole wako ungenitaja....Yani unauliza kwanini tunawapenda ilhali picha unazo?
Ila mimi niko tofauti sana katika vigezo vya kumpenda mwanaume.
Kigezo changu kikuu ni IQ...napenda wanaume wenye akili kubwa...tena sana.
Akiwa na akili tu kwangu keshachukua 50%...
Vingine vitafuatia.
Kwa kigezo hiki kuna mtu mmoja anacho humu...aiseee namzimia sana.
Bahati mbaya siwezi kumtaja![]()
Na mimi pia wamenisahauUmemsahau Idris Elba
He! Angalia mkuu. Shauri zako!Kumbe tunaopendwa tupo wengi..mi nashangaa kwanini napendwa sana na akiana dada hususan akina mama ntilie?....labda cjui kwa kuwa nina muonekano flani hivi,yaani mpaka kero.
Hahaha uwiiHapo kwenye list muongeze na Le mutuz