LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,507
Hemedi mrembo tu yule,mara nywele zina mawimbi sijui ndo wave wapi na wapihata PHD hemed anazo mbona
Hemedi mrembo tu yule,mara nywele zina mawimbi sijui ndo wave wapi na wapihata PHD hemed anazo mbona
HahahaaHemedi mrembo tu yule,mara nywele zina mawimbi sijui ndo wave wapi na wapi
Kuna kipindi huyu mnigeria RAMSEY NOAH aliwapagawisha sana wanawake, ila kwa sasa naona kazeeka.Hemedi mrembo tu yule,mara nywele zina mawimbi sijui ndo wave wapi na wapi
hahaaaaaaaw kwa hapo ndoa yangu itadumu haswaHapo kwenye list muongeze na Le mutuz
Akiwa kijana wanawake walimpenda sana ulikua huwaelezi kitu
basi le mutuz anakubebe kiulaini hadi raha hahaaaaaaaaYani unauliza kwanini tunawapenda ilhali picha unazo?
Ila mimi niko tofauti sana katika vigezo vya kumpenda mwanaume.
Kigezo changu kikuu ni IQ...napenda wanaume wenye akili kubwa...tena sana.
Akiwa na akili tu kwangu keshachukua 50%...
Vingine vitafuatia.
Kwa kigezo hiki kuna mtu mmoja anacho humu...aiseee namzimia sana.
Bahati mbaya siwezi kumtaja![]()