Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mkuu mtoa uzi muongeze na Jim Iyke...nae ni sukari yao...






Ha,ha,haaaa.....nyaniii mi nakupenda banah lakin cyo km huyu mwingine,na wala hajijui mana sijamuona kbs kwny hii postHongera zao hao wanaume wa humu..😀.
Maana wengine hatupendwi ati...
View attachment 374011 Na huyo hapo mkuu Sukari yao...![]()
Hahaha ndio na akiyakodoa sasa ndio balaaHuyu ana macho makubwaaa sana
Heheheh halaf akirembua ni balaaaa ila ana body kali mi macho makubwa kwa wanaume siyapendii hahaHahaha ndio na akiyakodoa sasa ndio balaa

Yaah hata mimi hapo labda body tu...macho yake yamezidi kuwa makubwa kha kama fundi saa!! akiact ndo anamkaba mdada hapo hatari anayakodoa hatariHeheheh halaf akirembua ni balaaaa ila ana body kali mi macho makubwa kwa wanaume siyapendii haha

jaman tusijenge chuki wanajamii forum,naona William levy na John Dumelo wanaiweka mada hot mpaka wadau Nifah na Nyani Ngabu wanakoromeana,but take it easy you guys,wanaume wote wa jamii forum wako bomba kinoma
I would say body imekaa poa kwa Jim!..well just to be fair thoughHapo kwenye body ya Jim Iyke![]()
![]()

Take it easy too brod...jaman tusijenge chuki wanajamii forum,naona William levy na John Dumelo wanaiweka mada hot mpaka wadau Nifah na Nyani Ngabu wanakoromeana,but take it easy you guys,wanaume wote wa jamii forum wako bomba kinoma
Probably that's will be me![]()




Nope my dear...bora ibaki kuwa siri yangu tu.Mtaje mtaje kijana huyo. Taharuki ngapi zimeshazuka humu, ije kua ya your wishes, wishful thinking?

Hahahahaahah nishamuona aiseeeYaah hata mimi hapo labda body tu...macho yake yamezidi kuwa makubwa kha kama fundi saa!! akiact ndo anamkaba mdada hapo hatari anayakodoa hatari![]()
Hapo kwenye list muongeze na Le mutuz
HahahahahaHahahahaahah nishamuona aiseee
Ahahahahaaaaa noma sanaHapo kwenye list muongeze na Le mutuz
Basi ntakua Mimi tuuuThubutuuuu!
Wapo wanaume wenye akili zao,huyo Le Mburula hasogei.