Wanawake mna nini na wanaume hawa?

Wanawake mna nini na wanaume hawa?

Yani unauliza kwanini tunawapenda ilhali picha unazo?
Ila mimi niko tofauti sana katika vigezo vya kumpenda mwanaume.
Kigezo changu kikuu ni IQ...napenda wanaume wenye akili kubwa...tena sana.
Akiwa na akili tu kwangu keshachukua 50%...
Vingine vitafuatia.

Kwa kigezo hiki kuna mtu mmoja anacho humu...aiseee namzimia sana.
Bahati mbaya siwezi kumtaja
Akili kubwa unaangukia kwa Lemutuz sasa !
 
Kwa kweli wanaume hawa sijui wana nini yaani ukiwaangalia tu lazima wakuvutie, baada ya kuona siwezi kummiliki John Dumelo ilibidi nimtafute angalau anaefanana nae ili niwe nijifariji
 
Ah!huyu mwafrika kuna sinema moja aliigiza kama shoga aliniboa (hasa pale alipofumwa na mkewe wa kwenye hiyo muvi (Toto Dinke) anamegwa chooni na yule muigizaji mnigeria aliyefariki aliyejulikana kama Muna Obiekwe basi toka wakati ule sijaweza angalia sinema yake nyingine na wala sijakuwa shabiki wake kwa kua nilikua namuona kama shoga kweli na sikuwa naelewa walikua wanafundisha nini kwa kuigiza vile,japo mwisho wa ile sinema aliacha ushoga baada ya kuombewa.
 
Kwa kweli wanaume hawa sijui wana nini yaani ukiwaangalia tu lazima wakuvutie, baada ya kuona siwezi kummiliki John Dumelo ilibidi nimtafute angalau anaefanana nae ili niwe nijifariji
umetishaaa
 
Back
Top Bottom