brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
hahaha hujatulia we mzee ati...Uje without kabisa. Sawa enh?
hahaha hujatulia we mzee ati...Uje without kabisa. Sawa enh?
Yani uje without naniliu... chapchap sana yanihahaha hujatulia we mzee ati...
Kweli kabisaNlichogundua hapo kwa picha pamoja na uzoefu wangu kwa watoto wa kike, Ni kuwa sifa za hao jamaa ni unadhifu pamoja na muonekano wa kiume.
Nifah si unitaje tu sasa mjadala uishe.........kwann kuwapa akina le mbebiz kick za bure tu hapa!umetishaaa
![]()
Hahahahaha dah JF raha sana.Wanawake utawaweza wanaweza kupenda hata mhudumu wa mochwari siku wakifa awafanyie make up za kutosha "acha chezea mamanzi"
mimi nini? najihisi hahaYani unauliza kwanini tunawapenda ilhali picha unazo?
Ila mimi niko tofauti sana katika vigezo vya kumpenda mwanaume.
Kigezo changu kikuu ni IQ...napenda wanaume wenye akili kubwa...tena sana.
Akiwa na akili tu kwangu keshachukua 50%...
Vingine vitafuatia.
Kwa kigezo hiki kuna mtu mmoja anacho humu...aiseee namzimia sana.
Bahati mbaya siwezi kumtaja![]()
mbona hata mimi namzidi mbali tujohn dumelo he is good inside out.mi mwenyewe hapo nna crush nae... aseee Mungu nipe kama huyu lols
We kwani haumpendi le akili kubwa?Hahaha uwii
Teh teh..Le mbebez..Nahisi ndo mwafrika pekee anayeongoza kuwa na picha nyingi na watoto wa kikeHaaa katununulie card za ""I'm Sorry"" utuombe radhi Le mutuz? Yule anapendwa na Mange not us!
hahaha..unahangaika na dumelo,wakati tupo sisi
Sio mimi kweli? Hebu funguka!Yani unauliza kwanini tunawapenda ilhali picha unazo?
Ila mimi niko tofauti sana katika vigezo vya kumpenda mwanaume.
Kigezo changu kikuu ni IQ...napenda wanaume wenye akili kubwa...tena sana.
Akiwa na akili tu kwangu keshachukua 50%...
Vingine vitafuatia.
Kwa kigezo hiki kuna mtu mmoja anacho humu...aiseee namzimia sana.
Bahati mbaya siwezi kumtaja![]()
hahah aisee ni shidaahahaha..unahangaika na dumelo,wakati tupo sisi