Teh teh eti utadhani kameulizwaSikuyaanzisha mimi. Kayaanzisha huyo mnuka kwapa wako.
Hayo ya huko kwingine alinitajataja nikampuuza.
Kuja na huku naona anawakumbusha tena jinsi ambavyo hanipendi. Kwani mi nampenda?
Kajitu kameng'ang'ana kuukumbusha umma wa JF [jinsi ambavyo hakanipendi] kila mara utadhani kameulizwa.
Who cares if she don't like me?
She can kick rocks and die.




(pamenifurahisha hapo tu)
Teh teh eti utadhani kameulizwa(pamenifurahisha hapo tu)
Yani nikusifie ndo uanze maringo,... at your own riskEti eeh?!!, inawezekana.
Utakoma nini?Mi Mwanaume akiwa Black Na mrefu Na six packs Basi keshamaliza kazi...(Leo ntakoma)
Labda kukaa kimya hawezii,na kuna mmoja alikuaga anasema hakupendi anakuchukia kwelu lakin sasa hiviii namuona kakaa mguu pandee eti umekua handsome humu kuna vitukooHahahaaa mtu kama hanipendi si apige kimya kimya tu...
Ya nini kutangaza?
Ayaaaaa Ramsey umri unaenda tu na u-handsome wake. Enzi zile sasa na filamu yao ya "my love" mweeeVP Ramsey Noah??nae Ni shidaaaah
Ramsey yuko poa anavutia ,ila van mfupiii labda kaushombe tuVP Ramsey Noah??nae Ni shidaaaah
Labda kukaa kimya hawezii,na kuna mmoja alikuaga anasema hakupendi anakuchukia kwelu lakin sasa hiviii namuona kakaa mguu pandee eti umekua handsome humu kuna vitukoo
Watu wa hivi mnapataga mabinti wapoleeee. Wewe ukipata mkorofi zaidi yako utasurrender ndani ya siku. Ni nini source ya hasira zako? inabidi ujue na utafute tiba yake aisee, utakuja kuua sikuSamahni hivi kuna wanawake wanapenda wanaume wakorofi kwelii? Maana mi nna mahasira, ma temper ma kila kitu yaani kwa kifupi ngumi mkononi...nshaachwa sana kwa tabia hii kila nikijaribu kuacha nashindwa...duuuh hasira mbaya sanaa asee
Na akikujua atakuchukiaKajitu hata sikajui na hakanijui. Sijawahi hata kukatongoza [kwanza hata sitongozagi mimi]. Halafu eti hakanipendi...nani anataka kupendwa na nzi?


?? (Itakua sizitaki mbichi hizi)
naona watoto watoto wa kike mnafunguka kwel wanaume tujipange
Yeah! Of course, women are "creatures from another planet".Wewe jamaa! Umenisababishia kicheko.
Ni kweli hao viumbe hawanaga sababu.
Mkuu Ramsey Noah enzi zile bhanatupa kule.. nowdays kuna visu vipyaaaa vinavyosumbua mjiniVP Ramsey Noah??nae Ni shidaaaah

Hajambo mwaya... Vipi mrembo wewe?
HahahaaaHahaaaa
Hao ujanja wao humu tu.
Huku uraiani wengine wala huwa hatutongozi.
Wanakuja tu wenyewe.



, umeona eeh ujanja mfukoniSasa kama hamuwezi kuwaafford au kuwa nao kwanini msitusifie wa nyumbani? Its somehow meaningless kweli.
Ndio wajiongeze tuache kuvutiwa na wa nje....sio kwamba tunapenda ila ndio hvyo wale nao Swagger zimezidi, unakuta mtu yuko smart kuanzia mavazi had brainTeh teh!, wa nyumbani tena, nyie ndo wenyewe. Lakini jiongezeni kidogo kuwa romantic. Mta pass kila kitu. 🙂
Heaven Sent na Sweetiepie what says you about this.
, hatari tupu mjini hapa