Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
HahahaaaHahaha "vimodo" on fleeek
HahahaaaHahaha "vimodo" on fleeek
Sasa kama hamuwezi kuwaafford au kuwa nao kwanini msitusifie wa nyumbani? Its somehow meaningless kweli.Haha haha nimechekaje. Mbona bongo wapo kibao tu pia, ngoja Leo tuwasifie hawa ambao hata hatuwezi kuwa-afford lol
Le mutuzi kweli naona amesahaulikaHapo kwenye list muongeze na Le mutuz
Amen.Kule Kwetu...Van Vicker labda macho yake tu ila hamna kingine...mi nafahamu bongo kuna boys wengi tena wako vizuri tu
Hajambo mwaya... Vipi mrembo wewe?Umpendae hujambo!
"Fantasy" tu hata tukiwasifia wabongo, mwisho wa siku kila mtu atamsifia baby ake, si unajua mtu chake lolSasa kama hamuwezi kuwaafford au kuwa nao kwanini msitusifie wa nyumbani? Its somehow meaningless kweli.
Na mwanaume wa kibongo ukimsifia sasa...hayo maringo yake sasa hata twiga haingii ndani"Fantasy" tu hata tukiwasifia wabongo, mwisho wa siku kila mtu atamsifia baby ake, si unajua mtu chake lol


Atakuwa hajajitambua bado. ...Na mwanaume wa kibongo ukimsifia sasa...hayo maringo yake sasa hata twiga haingii ndani![]()
Duuh...wanawake hawapigwi, labda una pepo la mahasira na ugomvi..omba sana Mungu akunusuru na hilo tatizo.Samahni hivi kuna wanawake wanapenda wanaume wakorofi kwelii? Maana mi nna mahasira, ma temper ma kila kitu yaani kwa kifupi ngumi mkononi...nshaachwa sana kwa tabia hii kila nikijaribu kuacha nashindwa...duuuh hasira mbaya sanaa asee
asante kwa ushauri.....ngoja niombe MunguDuuh...wanawake hawapigwi, labda una pepo la mahasira na ugomvi..omba sana Mungu akunusuru na hilo tatizo.
Poa jmn za siku?Mamboz
Poa jmn....Poa jmn za siku?
Hawa viumbeHahaa, unanikumbusha dem wangu mmoja alkua na hako kaugonjwa ka kukunja shati, yaani tukienda mahali anataka nivae shati la mikono mirefu afu nikunje,
Sasa balaa likaja mwanachuo mwenzie nae ana kaugonjwa ka ka kwake, cku akamwambia "yaan nikiona mkaka kakunja shati namtamani hd sa ingine pichu inaloa" nkashangaa napigwa marufuku kutia timu chuo, baadaee ndio akaja kuniambia sababu, nlicheka sana aiseee.
Cjui wewe ulkua wangu au ndio rafikie!! Natania tuu lakini![]()
![]()
Anderson Cooper huyu wa CNN ni shoga huyu.View attachment 374532
All in all this cuteness don't have a price tag, too bad he's on the other team. Mbona hasara!
Nifah..nimtaje nakupa Zawadi njoo inboboYani unauliza kwanini tunawapenda ilhali picha unazo?
Ila mimi niko tofauti sana katika vigezo vya kumpenda mwanaume.
Kigezo changu kikuu ni IQ...napenda wanaume wenye akili kubwa...tena sana.
Akiwa na akili tu kwangu keshachukua 50%...
Vingine vitafuatia.
Kwa kigezo hiki kuna mtu mmoja anacho humu...aiseee namzimia sana.
Bahati mbaya siwezi kumtaja![]()