Wanawake mna nini na wanaume hawa?

Wanawake mna nini na wanaume hawa?

Unataka kuleta habari zingine kabisaa..kwani mkuu hili jukwaa ni la akina mtu fulani? au linamilikiwa na watu fulani kwamba wao tu ndio wanapaswa kuonekana humu? si mtu unapoguswa na mada unachangia au...labda uniambie wewe au moderator aniambie kama kuna boundaries za watu wapya kuchat. Kumbuka na wewe pia uliwahi kuwa mgeni humu hadi ukazoea jukwaa, sidhani kama namkera mtu humu maana situkani wala simkejeli mtu ila natoa tu maoni yangu kama mimi na sina haja ya kupata attention kutoka kwa mtu yeyote, sorry kama nakuboa, sorry indeed aisee yashakuwa hayo tena.
Jamani sweetie..mbona unepanic..Najuaa Ni Mdada..sorry to offend you..usiwe too emotional... JF kuna matani sana la sivyo utakimbia mchana kweupe. We ukisoma iyo post yangu Ni kama nipo serious? Come one baby girl..just come down..usiwe ivyoo..Haya chukua soda kwa Mango ntakuja kulipa.Hope umenisamehe.
 
Jamani sweetie..mbona unepanic..Najuaa Ni Mdada..sorry to offend you..usiwe too emotional... JF kuna matani sana la sivyo utakimbia mchana kweupe. We ukisoma iyo post yangu Ni kama nipo serious? Come one baby girl..just come down..usiwe ivyoo..Haya chukua soda kwa Mango ntakuja kulipa.Hope umenisamehe.
Hamna nimejaribu tu kujielezea ili mwingine akisoma pia aelewe... ujue jinsi utakavyoniongelea mimi ndio watu humu watakavyonichukulia...JF naifahamu vizuri tangu muda japo sikuwa nimejiunga. Peace and love SweetApple wangu
 
hehehe!, ngoja akusikie, atakwambia hakuna kama yeye, wa kushindana naye.

Kitu muhimu ni mtu kujua their responsibilities as men, sio mpaka mtu ukumbushwe. Unajua kuna vitu vidogo dogo (romantically) vinapendeza mtu kufanya spontaneously. Things they're expected to do, sio mpaka wakumbushwe. Inapendeza sana kufanya casually.
Couldn't agree more doll

#littlethingsmatterthemost#
 
  • Thanks
Reactions: kui
Watu wa hivi mnapataga mabinti wapoleeee. Wewe ukipata mkorofi zaidi yako utasurrender ndani ya siku. Ni nini source ya hasira zako? inabidi ujue na utafute tiba yake aisee, utakuja kuua siku
Yaani nna quick reaction kama mtu akinikera....mfano kuna siku nlipanda daladala nlikua na mawazo sana siku hyo konda akanirudishia nauli nkasahau kama amenirudishia chenji nkamdai akawa hataki anantukana nlivyoshuka tulipasuana kinomaaa maaana alikua kipande cha mtu, gari ikasepa nkabaki mwenyewe kujicheki mfukoni nkakuta nnayo chenji nlicheka sanaa
 
Yaani nna quick reaction kama mtu akinikera....mfano kuna siku nlipanda daladala nlikua na mawazo sana siku hyo konda akanirudishia nauli nkasahau kama amenirudishia chenji nkamdai akawa hataki anantukana nlivyoshuka tulipasuana kinomaaa maaana alikua kipande cha mtu, gari ikasepa nkabaki mwenyewe kujicheki mfukoni nkakuta nnayo chenji nlicheka sanaa
Punguza hasira na usi entertain hiyo hali. Itakupeleka pabaya
 
10570317_10152218966776646_8876416046175701458_n.jpg

13319723_10153510361231646_8598511670405922003_n.jpg
 
Labda kukaa kimya hawezii,na kuna mmoja alikuaga anasema hakupendi anakuchukia kwelu lakin sasa hiviii namuona kakaa mguu pandee eti umekua handsome humu kuna vitukoo
Baada ya ile maada ya perfume Ngabu kawa HB acha tu vituko vya humu
 
Baada ya ile maada ya perfume Ngabu kawa HB acha tu vituko vya humu

Hahaaaa but I've always been good looking. Some call me a panty melter...others call me Mr. Galz Dem Sugar.

Never had a woman problem in my life.
 
...Uhusiano wa wanawake kupenda wanamme wenye maumbo ya kuvutia nadhani huwa wanatarajia vitu adimu sana...lkn trust me wengi huwa wanaishia kuwa disappointed ...maana huwa hawakuti walivyovitarajia kuvipata kwa muhusika.Bali pia huwa wanakuwa surprised na wanamme ambao hawana mvuto sana..hukutana pia na shughuli wanayoipenda
 
yani unaweza ukanikuta nasmile tu peke yangu, kumbe ni mkaka kapita kakunja shati vizuriiiiii (ila inategemea na size, sio mtu anavaa shati 6 metres eti na yeye analikunja akhuuuuuu )
Vishati vimodo kukunja ndo mwake,mwake.
 
Ah!huyu mwafrika kuna sinema moja aliigiza kama shoga aliniboa (hasa pale alipofumwa na mkewe wa kwenye hiyo muvi (Toto Dinke) anamegwa chooni na yule muigizaji mnigeria aliyefariki aliyejulikana kama Muna Obiekwe basi toka wakati ule sijaweza angalia sinema yake nyingine na wala sijakuwa shabiki wake kwa kua nilikua namuona kama shoga kweli na sikuwa naelewa walikua wanafundisha nini kwa kuigiza vile,japo mwisho wa ile sinema aliacha ushoga baada ya kuombewa.
Kumbe! Basi hiyo ndiyo sababu kubwa, maana ukweli ni kuwa wadada wengi na mashoga ni 'damdam'...!!!
 
Unajua nini kuna MTU aliuliza VP mbona unapost vile?? Sasa si kujua ulipost nini Na Mimi sikuwa JF kidogo nikabisha ....nimegundua.Ni Wewe kumbe uliniletea Shida kidogo...Sasa Na wewe shost yangu Hata wiki bado humu lakini unataka kutuzidi maspeed watu wa zamani..inabidi niitishe kikao cha dharura Na akina salt Na Dinazalde....nimeshtukaaaaa

Hahahaha weee acha uchokozii bana,jf tamu bana spid lazima iwepoo
 
Unataka kuleta habari zingine kabisaa..kwani mkuu hili jukwaa ni la akina mtu fulani? au linamilikiwa na watu fulani kwamba wao tu ndio wanapaswa kuonekana humu? si mtu unapoguswa na mada unachangia au...labda uniambie wewe au moderator aniambie kama kuna boundaries za watu wapya kuchat. Kumbuka na wewe pia uliwahi kuwa mgeni humu hadi ukazoea jukwaa, sidhani kama namkera mtu humu maana situkani wala simkejeli mtu ila natoa tu maoni yangu kama mimi na sina haja ya kupata attention kutoka kwa mtu yeyote, sorry kama nakuboa, sorry indeed aisee yashakuwa hayo tena.

Sweeeerr nadhani anatania tu,usichukulie serious
 
Back
Top Bottom