Wanawake mna nini na wanaume hawa?

Wanawake mna nini na wanaume hawa?

Ndio wajiongeze tuache kuvutiwa na wa nje....sio kwamba tunapenda ila ndio hvyo wale nao Swagger zimezidi, unakuta mtu yuko smart kuanzia mavazi had brain , hatari tupu mjini hapa


Hahahhaaaa, Damn gaal!, eti smart mavazi mpaka brain, tehe teh!
Nimeizimia hii.
 
Aah nyumbani zaidi bana lol. Ukisema wawe romantic utaambiwa wewe mfilipino, tamthilia zimekuharibu


Heheh, ni kweli go east go west home is the best. (A SHOUT OUT TO MY TZ BROTHERS)!

Kuongezea nakosema ni kama icing on the cake. Tayari wako vizuri, lakini wakiongeza hiyo watakuwa vizuri zaidi. Wawe natural tu, sio ufilipino.
 
Heheh, ni kweli go east go west home is the best. (A SHOUT OUT TO MY TZ BROTHERS)!

Kuongezea nakosema ni kama icing on the cake. Tayari wako vizuri, lakini wakiongeza hiyo watakuwa vizuri zaidi. Wawe natural tu, sio ufilipino.
Hahahaha Kui bwanaa
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hahahaha kha!!
Mmh unachekaaa hahah
Heheh, ni kweli go east go west home is the best. (A SHOUT OUT TO MY TZ BROTHERS)!

Kuongezea nakosema ni kama icing on the cake. Tayari wako vizuri, lakini wakiongeza hiyo watakuwa vizuri zaidi. Wawe natural tu, sio ufilipino.
You mean wawe kama Benny lol. Wakaka wetu wapo amazing mnooo, basi tu
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kwa nini umeiba jina languuuuu??
Aaah mkuu...Sweetapple na Sweetiepie hivi ni kitu kimoja kweli?! Kwanza had nasajili hilo jina Sikuambiwa kwamba kuna user humu analitumia maana ndugu mimi humu ni mgeni hata wiki Sijafikisha. Angalia vizur tena basi. Kama umelipenda langu niambie tubadilishane maana nahisi umetokea kulipenda sana
 
Nampenda Willy Levy mimi jamani uuuuwiiiiii!!!
Mkuu umemsahau na mtu mmoja mtanzania anaitwa DAXX CRUZ Ni model yupo south Africa

Mwingine ni Diamondplatnumz.....licha la umbile lake dogo lakini wadada wengi wanamzimikia saaaana

Huyu Diamond platnumz mlianza kumzimikia wakati anaanza muziki (alipokuwa underground) au?
 
Yaani Yale maisha ya maigizo ndio yanawavutia? Hii kali kwa kweli, nimeelewa kwa nn wanawake huwa wanaingizwa sana mkenge kiuraisi tu
 
Aaah mkuu...Sweetapple na Sweetiepie hivi ni kitu kimoja kweli?! Kwanza had nasajili hilo jina Sikuambiwa kwamba kuna user humu analitumia maana ndugu mimi humu ni mgeni hata wiki Sijafikisha. Angalia vizur tena basi. Kama umelipenda langu niambie tubadilishane maana nahisi umetokea kulipenda sana
Unajua nini kuna MTU aliuliza VP mbona unapost vile?? Sasa si kujua ulipost nini Na Mimi sikuwa JF kidogo nikabisha ....nimegundua.Ni Wewe kumbe uliniletea Shida kidogo...Sasa Na wewe shost yangu Hata wiki bado humu lakini unataka kutuzidi maspeed watu wa zamani..inabidi niitishe kikao cha dharura Na akina salt Na Dinazalde....nimeshtukaaaaa
 
Weeee type ya benny wawe wachache buana, wakiwa wengi watanichanganya sana akili kwenye kuchagua lol


hehehe!, ngoja akusikie, atakwambia hakuna kama yeye, wa kushindana naye.

Kitu muhimu ni mtu kujua their responsibilities as men, sio mpaka mtu ukumbushwe. Unajua kuna vitu vidogo dogo (romantically) vinapendeza mtu kufanya spontaneously. Things they're expected to do, sio mpaka wakumbushwe. Inapendeza sana kufanya casually.
 
Unajua nini kuna MTU aliuliza VP mbona unapost vile?? Sasa si kujua ulipost nini Na Mimi sikuwa JF kidogo nikabisha ....nimegundua.Ni Wewe kumbe uliniletea Shida kidogo...Sasa Na wewe shost yangu Hata wiki bado humu lakini unataka kutuzidi maspeed watu wa zamani..inabidi niitishe kikao cha dharura Na akina salt Na Dinazalde....nimeshtukaaaaa
Unataka kuleta habari zingine kabisaa..kwani mkuu hili jukwaa ni la akina mtu fulani? au linamilikiwa na watu fulani kwamba wao tu ndio wanapaswa kuonekana humu? si mtu unapoguswa na mada unachangia au...labda uniambie wewe au moderator aniambie kama kuna boundaries za watu wapya kuchat. Kumbuka na wewe pia uliwahi kuwa mgeni humu hadi ukazoea jukwaa, sidhani kama namkera mtu humu maana situkani wala simkejeli mtu ila natoa tu maoni yangu kama mimi na sina haja ya kupata attention kutoka kwa mtu yeyote, sorry kama nakuboa, sorry indeed aisee yashakuwa hayo tena.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom