kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
Ndio wajiongeze tuache kuvutiwa na wa nje....sio kwamba tunapenda ila ndio hvyo wale nao Swagger zimezidi, unakuta mtu yuko smart kuanzia mavazi had brain, hatari tupu mjini hapa
Hahahhaaaa, Damn gaal!, eti smart mavazi mpaka brain, tehe teh!
Nimeizimia hii.
, hatari tupu mjini hapa
