secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,422
Wengi wao wako kwa I'd feki. Hata mama saa100 anamanga manga humu kwa I'd feki.Kwahy jamaa naye yupo kwa privacy id mbona sijawahi kuona I'd yake kama alivyokuwa mama Dorothy gwajima 😂
Wengi wao wako kwa I'd feki. Hata mama saa100 anamanga manga humu kwa I'd feki.Kwahy jamaa naye yupo kwa privacy id mbona sijawahi kuona I'd yake kama alivyokuwa mama Dorothy gwajima 😂
📌🔨Get ready
. Yes, na ubaya zaidi wanawake huwa hawakumbuki mazuri ya jana 😅😅. Ukiteleza leo anakuweka kwenye uhaini.Nilikuwa nawaanalyse sana wanawake as if wao ni malaika, ila niliposhtuka kwamba hao sio malaika ni wanadamu kidogo nilianza kubadilisha akili yangu juu ya mwanamke. Ukiwekeza nguvu kumwelewa mwanamke hutoboi.