Wanawake mmezidi kuendesha magari machafu

Wanawake mmezidi kuendesha magari machafu

hapo hapo siti za nyuma utakuta hotipoti hazijaoshwa, mitandio, miavuli, magunzi ya mahindi, pea ya viatu, mirungi, miganda ya bablish, vichungi vya sigara nyota, ...
Ha haa, nimeipenda hiyo 'vichungi vya sigara nyota' Bongo wanawake si wengi wanaovuta sigara.
 
hapo hapo siti za nyuma utakuta hotipoti hazijaoshwa, mitandio, miavuli, magunzi ya mahindi, pea ya viatu, mirungi, miganda ya bablish, vichungi vya sigara nyota, yaani ni shida tupu. Tuwashauri benki wasitishe mikopo ya magari kwa hawa wadada!!
Mara nyingi majina huwa yanaakisi ukweli We kweli ni Battery low!!!!
 
Mmhh! Si kweli,uchunguzi wako umefanyia wapi?

Ni kweli. Na ukiingia ndani ya gari ya mwanadada ni kama warehouse fulani hivi. Utakuta kuna
  • Viatu jozi kadhaa
  • Magauni kadhaa
  • Midoli lukuki
  • Vipodozi
  • Mikoba anuwai
  • Mwamvuli
  • Mawigi, n.k

Sasa kama ndani tu kuko hivyo, unadhani mkumbuka kuosha gari nje?
 
hivi unakopaje kununua gari? mimi bado huwa sielewi

Gari la kwanza kumiliki sikukopa kwani nilikuwa kitengo chenye neema, sasa limechoka sina hela kamili imebidi nikope tu cha kujazia. Bila mikopo huwezi labda uwe fisadi kama nilivyofanya mwanzo mimi
 
Gari la kwanza kumiliki sikukopa kwani nilikuwa kitengo chenye neema, sasa limechoka sina hela kamili imebidi nikope tu cha kujazia. Bila mikopo huwezi labda uwe fisadi kama nilivyofanya mwanzo mimi

Mmmh aya bwana
 
Ukipita kona yoyote ya jiji ukiona gari imejaa vumbi sana angalia ndani ya gari utaona ni MWANAMKE.

Na gari nyingine zina majani ya miti juu ya bodi nadhani sababu ya kupaki chini ya miti na kuendesha bila kuzisafisha, ukiangalia anayeendesha ni MWANAMKE.

WANAWAKE MMEZIDI KUENDESHA MAGARI MACHAFU.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

Jamanii mi napenda kuendesha gari chafuuu, ukute nimetoka safari ndefuu liwe limejaa vumbi njee na tope bax mi naonaje rahaa! Ila ndani pasafii polish kwenye dashbord inangaa,air fresh na kiyoyozi kwa saana
 
Last edited by a moderator:
Ndani ndio balaa gari ya mwanamke in ksma katakana au stop vitu vimewekwa hovyo hovyo makorokoro kibao
 
kanunuliwa gari, anawekewa mafuta, apewe na hela ya kuoshea gari tena ? kama haoshi mwenyewe nyumbani basi tena.
 
Back
Top Bottom