nakubaliana na wewe kwa asilimia 99.9... na ukiingia ndani ya hiyo gari unapata flue kabsa
Aaaah mama Temba bhana,mbona ka vitz kako kasafi?nakubaliana na wewe kwa asilimia 99.9... na ukiingia ndani ya hiyo gari unapata flue kabsa
Ukipita kona yoyote ya jiji ukiona gari imejaa vumbi sana angalia ndani ya gari utaona ni MWANAMKE.
Na gari nyingine zina majani ya miti juu ya bodi nadhani sababu ya kupaki chini ya miti na kuendesha bila kuzisafisha, ukiangalia anayeendesha ni MWANAMKE.
WANAWAKE MMEZIDI KUENDESHA MAGARI MACHAFU.
BY: SUPU YA MAWE