Wanawake mmezidi kuendesha magari machafu

Wanawake mmezidi kuendesha magari machafu

Ukipita kona yoyote ya jiji ukiona gari imejaa vumbi sana angalia ndani ya gari utaona ni MWANAMKE.

Na gari nyingine zina majani ya miti juu ya bodi nadhani sababu ya kupaki chini ya miti na kuendesha bila kuzisafisha, ukiangalia anayeendesha ni MWANAMKE.

WANAWAKE MMEZIDI KUENDESHA MAGARI MACHAFU.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

Ni katika ule uchunguzi wako wa vipaja ndio umegundua na hili?
 
Ukipita kona yoyote ya jiji ukiona gari imejaa vumbi sana angalia ndani ya gari utaona ni MWANAMKE.

WANAWAKE MMEZIDI KUENDESHA MAGARI MACHAFU.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

AISEE...
car3.jpg
 
Kama umeshapanda mara kwa mara vigari vya watoto wengi wa kike utagundua ndani ya magari yao wengi kupo rafu sana. Mara makopo ya ice cream chini ya Viti,mara viskuna,mara ma- makeup,mara nguo,n.k ..yaani ni Aibu!
hapo hapo siti za nyuma utakuta hotipoti hazijaoshwa, mitandio, miavuli, magunzi ya mahindi, pea ya viatu, mirungi, miganda ya bablish, vichungi vya sigara nyota, yaani ni shida tupu. Tuwashauri benki wasitishe mikopo ya magari kwa hawa wadada!!
 
uje utuchunguze na sie wa TZ 11 kama huwa
tunasugua nyayo baada kusafiria kwa kutwa nzima
 
Back
Top Bottom