Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
hapo hapo siti za nyuma utakuta hotipoti hazijaoshwa, mitandio, miavuli, magunzi ya mahindi, pea ya viatu, mirungi, miganda ya bablish, vichungi vya sigara nyota, yaani ni shida tupu. Tuwashauri benki wasitishe mikopo ya magari kwa hawa wadada!!
Viatu panga pangua lazima viwemo na mwavuli wakati wa mvua hawakosi!