Wanawake, kwanini tukiwakataa mnatuchukia?

Wanawake, kwanini tukiwakataa mnatuchukia?

Mkuu dem akija inabidi bajeti iongezeke tofauti na ulivopanga. Ndio maana sikutaka mazoea sana, unaweza usifikie malengo yako kwa kuendekeza mbususu.
Ni kwelii mkuu mbususu zina gharama kubwa sana
 
Demu akikupenda ila we ukapita tu kama unapita kwa mlupo halafu ukammwaga aisee anaanza kuchukia mashemeji mpaka wakwe… na akichukia kachukia kweli si masihara
 
Kuna mwanamke aliniletea barua ya maombi akiomba kuwa nimpelekee moto;Kwa kweli sikumlazia damu,niliifanya shughuli vilivyo halafu nikamkacha kiaina,aisee alikuwa anatia huruma hadi Nilikuwa namkwepa nikikutana naye njiani.
 
Hajui huyo, halafu hakuna stability thabiti kwenye mahusiano kama mwanamke akikuweka kwenye moyo wake. Mwanaume Upendo unakuja alipetiwa petiwa, kupewa kauli tamu na kuhudumiwa vizuri.
Tunatofautiana...sio kila mwanamke atakae nifata kuniambia tuwe kwenye mahusiano itakuwabalika...hata wewe huwezi
 
Women rarely get rejected. Their self esteem spirals downwards when rejected.
 
Ata uki wapotezea wana kuchukia...hata salamu haupewi.

Unakuta mwingine ndio mshenzi wa tabia, ana kuambia ukimkubali ana tulia mazima 😀 😀 😀
 
Mapenzi ni hisia. Tatizo la mademu hawajuagi hilo. Demu anaweza kukupenda lakini wewe usiwe na hisia nae kabisa. Mfano mimi sinaga hisia na mademu waongeaji saaaaana na wembamba saaaaaaana!. Napenda demu mstaarabu mwenye maneno kidogo tu. Zaidi napenda "nyama".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom