Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Mweeeh! Mweeeh! Mweeeh!
Hakika inauma sana mkuuUnawezaje kumwambia binadamu mwenzio kuwa humpendi sijui humtaki, imagine!
Au tindikali kabisaSasa umenikataa nikuchekee ili iwe nini, si bora hata nimekuchunia ilitakiwa tukikutana nikumwagie mchanga...

Story nzima ipo hivi..kuna mdada mmoja nilikuwa nimezoeana nae ...sasa ikafika kipindi akanielezea hisia zake nadhani unaelewa.. Ila kiukweli sikuwa namtani kivyovyote vile kifupi sikuvutiwa nae,Inategemea umemkataa mda gani? Baada ya kuwa kwenye mahusiano naye tena mda mrefu tu na mkipanga malengo afu baadaye unakuja unamkataa? Hapo lazima akuchukie sana sababu umempotezea muda wake.
Kwanini chiefWe jamaa katili Sana ...
Usisahau na lawama za kuitwa et jogoo hawikiDaah! Hasa ukute yule anayejiona mzuri......
Afu ukampangua kikatili lazima akuchukie,
ila baharia next time ukitongozwa na demu tongozeka afu usimpe time.
Wanakasirika kwa sababu wanajua umemuona kuwa yeye ni ng'ong'ozo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unajua bhna sio kila mwanaume anapenda kuchezea hisia za mwanamke kuna sisi wengine tumembwa na roho ya huruma, kuliko kuchezea hisia za mtu ni heri umwambie ukweli tu kama haupendi ili kuepusha kupotezeana muda
Hili ni kosa kwa mwanamke ukimwambia kama humtaki/humpendi atakuchukia milele. Sasa sijui hawa ndugu zetu wanapenda kuchezewa
Sijui shida nini muwage waelewa tunawaepusha na mabalaa huko mbeleni
Wee ukatili wa wanawake unaujua au unausikia?We jamaa katili Sana ...
Kilikuta nini malizia storyStory nzima ipo hivi..kuna mdada mmoja nilikuwa nimezoeana nae ...sasa ikafika kipindi akanielezea hisia zake nadhani unaelewa.. Ila kiukweli sikuwa namtani kivyovyote vile kifupi sikuvutiwa nae,
Ila kwakuwa ni mwanamke nikaona sio poa ngoja tu niwe nae kumridhisha nafsi..sasa kadri siku zinavyoenda nikawa naona yeye anazidi kunipenda huku upande wangu sina feeling nae kabisa
Nikasema nimwambie tu ukweli nisimpotezee muda..
Nilimwambia peaceful tu...ilikuwa mwaka jana mwanzoni..then tukapotezana..nimekuja kukutana nae juzi sehemu nikamchangamkia kumsalimia...kilichonikuta siri yangu..ndio ikafanya nije kuwauliza huku JF..kama kumkataa mwanamke ni kosa haitakiwi nijue..maana binadam tunatofautiana uwenda nachofikiria mimi kwa wengine sio sahihi
Emu nisaidie wewe maana kila mtu ananiita katili...hivi wanaujua ukatili wa wanawake hawa?...Wee ukatili wa wanawake unaujua au unausikia?
Aisee..nimeshangaa sana...Wanawake wangi wanaamini hawawezi kukataliwa na mwanaume kwa jambo lolote sasa wewe jaribu kukataa umewahi kusoma stori ya yusuf na mke wa potifa .tena wewe shukuru anachukia tu wenzako wanatangaziwa chafu na usiombe awe anawadhifa mkubwa lazima akutese .hawa wanawake mara nyingi hawapendi kweli ila homon zinawaendesha iyo ndo sababu wana uwezo mkubwa wa kuhamisha upendo mpaka chuki tena kwa muda mfupi sana hapo ndo wanasayansi wanasema woman has no feelings always she just pretending feelings
Sasa umenikataa nikuchekee ili iwe nini, si bora hata nimekuchunia ilitakiwa tukikutana nikumwagie mchanga...
Umenikataa nikuchekee.sorry we can't be friends kabisa...unafiki mbaya.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app