Wanawake kupenda wanaume wenye pesa kumefanya wanaume wajitambue na kuacha uvivu, pongezi kwenu

Mesehomie

Member
Oct 25, 2023
30
177
Rejean kichwa cha habari hapo juu.

Ipo wazi sasa hivi mwanaume kama huna hela mapenzi yatakusumbua sana, yaani kuna aina ya wanawake hutowapata regardless ya muonekana wako, family background, n.k.

Hii imepelekea wanaume wengi kuchacharika kuitafuta pesa, hata zile jamii/makabila yenye character ya uvivu yamebadilika, yanachapa kazi.

Miaka ya 2012 kurudi nyuma wanawake wengi walikuwa hawaangalii hela sana lakini kuanzia 2013 ilitokea msemo wa 'Mwanaume asie na pesa wa kazi gani' hadi leo ni kawaida kama mwanamke ana pesa bado anapenda/anataka mwanaume mwenye pesa.

Kwa lazima 90% ya wanaume wote Tanzania wanaingia kwenye mfumo wa kufight, kutafuta hela ili kuwa na maisha bora na kuheshimika katika jamii.

Licha ya 90% ya wanaume kuingia katika mfumo kuna 10% ya wanaume hawaamini katika ku strugle, wao wanamini katika kwa smart, kunukia n.k (wazee wa vipensi na sendo), pia wako sahihi ila soon wataingia kwa mfumo.

Hitimisho
Nchi kama South Korea, China, Japan zimeandelea kwa kutupilia mbali uvivu na kuchapa kazi.

Wanawake pongezi kwenu sana.
 
Ila kuna ukweli fulani!
Hakuna mwanamke utampata bure bure lazima kuna majukumu utabeba tuu utake usitake na hayo yanakufanya kuwa wa tofauti maana kati ya jambo linalompa faraja mwanaume ni kumhudumia mwanamke wake!

Lakini kuna tofauti ya kuwa kwenye mahusiano na mwanamke na kuwa kwenye mahusiano na omba omba…
 
Rejean kichwa cha habari hapo juu.

Ipo wazi sasa hivi mwanaume kama huna hela mapenzi yatakusumbua sana, yaani kuna aina ya wanawake hutowapata regardless ya muonekana wako, family background, n.k.

Hii imepelekea wanaume wengi kuchacharika kuitafuta pesa, hata zile jamii/makabila yenye character ya uvivu yamebadilika, yanachapa kazi.

Miaka ya 2012 kurudi nyuma wanawake wengi walikuwa hawaangalii hela sana lakini kuanzia 2013 ilitokea msemo wa 'Mwanaume asie na pesa wa kazi gani' hadi leo ni kawaida kama mwanamke ana pesa bado anapenda/anataka mwanaume mwenye pesa.

Kwa lazima 90% ya wanaume wote Tanzania wanaingia kwenye mfumo wa kufight, kutafuta hela ili kuwa na maisha bora na kuheshimika katika jamii.

Licha ya 90% ya wanaume kuingia katika mfumo kuna 10% ya wanaume hawaamini katika ku strugle, wao wanamini katika kwa smart, kunukia n.k (wazee wa vipensi na sendo), pia wako sahihi ila soon wataingia kwa mfumo.

Hitimisho
Nchi kama South Korea, China, Japan zimeandelea kwa kutupilia mbali uvivu na kuchapa kazi.

Wanawake pongezi kwenu sana.
Huo utafiti wako umeufanyia wapi? Ktk dunia ya leo unaishi kwa hisia? poyoyo kweli
 
wew tafta pesa kwa sababu pesa zinanunua mahitaji ila ustafte pesa kisa unataka kumpa mwanamke na ukiona unatafta pesa kwa Nguvu nyingi sana afu mwisho wa siku unakimbilia kuwapa wanawake utakufa masikini wa kutwa hapa Duniani kwa mstitizo usiache kutimiza ndoto zako sababu ya mapenzi
 
Hali imekuwa hivyo kwa kuwa machangudoa ni wengi kuliko wanawake wanaojiheshimu.......na machangudoa wengi sana wanaoljificha kwenye kichaka cha mahusiano na ndoa.......

NB:
Mwanamke anatakiwa aje kukupa utulivu na wepesi kwenye maisha yako....ukiona unaishi na mwanamke au upo kwenye mahusiano na mwanamke ambaye hakupi utulivu na amekuongezea ugumu wa Maisha basi jua umeoa au upo kwenye mahusiano na changudoa......na hakuna dawa nyingine zaidi ya kuacha na huyo changudoa
 
Back
Top Bottom