HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
Lol, nimeoina charminglady, lakini mbona sisi huwa tunawapakia akina dada na saa nyingine mpaka tunasubirishwa na wala hatulalamiki? Magari yetu hayachakai? Na hapa hakuna issue ya security maana tunazungumzia lifti ya kuwapa japo wafanyakazi wengine, hofu ya nini?
Last edited by a moderator: