Wanawake kuendesha gari peke yao...

Wanawake kuendesha gari peke yao...

Yaani haiwezekani

Viatu lazima vikae siti ya kati, ili iwe rahisi kuchagua unachotaka kuvaa wakati huo.

Tena ukute na watoto wanalitumia weekend sijui wameenda kuogelea, hapo utalia. Nyuma unaweza kuta kuna mchele, unga, ngano, sukari, na mafuta. Huku kati kuna nyanya, hoho, na taka taka zingine zote. Kiti cga mbele kuna pochi na mikate, skonzi, maandazi, trei la mayai linakaa chini sakafuni pale kwa abiria mbele ili yasianguke ukifunga brek ghafla.

Kweli gari ya mwanamke hata iwe kenta au fuso, linamtosha mwenyewe tu.

Wewe kwa sababu una ka-vitz naweza kukusamehe, sasa kwa mtu kama Kongosho mwenye Noah new model na Ipsum au wale wenye Nadia au Gaia au Prado, hilo gari zima utapakia hivyo vikorokoro ulivyovitaja tu? Hayo si matumizi mabaya ya barabara? Si ndo nyie mnaoongeza traffic jam barabarani maana gari kubwa umepanda pekee yako wakati wenzako hata bajaj wanapanda 5!
Na kwa kuongezea, hivi haya magari haya buti la kuwekea hizo sufuria za mtumba, karoti na kabichi? snowhite, usiniangushe!
 
Kwa kweli, bora tu wanamme wajue wasiwe wanaomba lifti wanawake, ni shida mno.

Bora hata umini, baadhi ya wanamme wakute wake zao au gf zao wamebakiza midume, wanaumia mno. Sasa ya nini kumuumiza mtu uliyenaye? Kisa lifti?

yaani hiyo views hapo tu halafu mguu mmoja upo kwenye mafuta mwingine kwenye clutch , yaani mpaka tufike unaponishushia nitakuwa nimepata tabu sana na kama lift yenyewe umenipa mimi nitageuka zombie wa muda.
 
Wanawake huwa sio raahisi kutoa msaada kwa wenzao siku zote,labda kusemana tu!
 
Wengine hawana umaridadi wampa lift halafu akifunga mlango maguvu yote yatumike, hapo lazima gani liharibike baada y muda mchache. Ikizidi kutoa lift kwa wanaume haina usalama unaweza bakwa..........na gari ni yako mwenyewe.
 
Yaani haiwezekani

Viatu lazima vikae siti ya kati, ili iwe rahisi kuchagua unachotaka kuvaa wakati huo.

Tena ukute na watoto wanalitumia weekend sijui wameenda kuogelea, hapo utalia. Nyuma unaweza kuta kuna mchele, unga, ngano, sukari, na mafuta. Huku kati kuna nyanya, hoho, na taka taka zingine zote. Kiti cga mbele kuna pochi na mikate, skonzi, maandazi, trei la mayai linakaa chini sakafuni pale kwa abiria mbele ili yasianguke ukifunga brek ghafla.

Kweli gari ya mwanamke hata iwe kenta au fuso, linamtosha mwenyewe tu.

Lol, Kongosho umenimaliza!!! Itabidi nimnunulie mke wangu basi la Yutong au Marcopolo nione pia kama atashindwa kutoa lifti! Toeni lifti wadada, tupunguze traffic jam hapa mjini!
 
Last edited by a moderator:
Nimekupendaje!!?...Watu bado wana mawazo mgando ya mwaka 47 kwamba kila mwanamke mwenye kuendesha gari basi amehongwa wanasahau kwamba miaka hii purchasing power ya wanawake wengi sana imeongezeka kwa kiwango cha juu sana.

Kila mwanamke aliye na gari kanunuliwa.??? Acheni ushamba...huko ofisini kwako hamna wanawake walikuzidi salary. ...hauna mabosi wa kike.??? Hujasoma na mademu vichwa darasani...kumbe bado mna mawazo mgando eehh...mwanamke ni mama wa nyumbani.??heeee pole weeeeeee......cash aint nothing now days as long as uko vizuri kimshahara...si kila demu anahongwa km kina sepetu
 
He he he, watakua wanapanda kule nyuma, ila nusu ya basi huku mbele kote atapajaza, kuna saa kuna ngui za kitchen party mara mazoezi.

Lol, Kongosho umenimaliza!!! Itabidi nimnunulie mke wangu basi la Yutong au Marcopolo nione pia kama atashindwa kutoa lifti! Toeni lifti wadada, tupunguze traffic jam hapa mjini!
 
Kwa kweli, bora tu wanamme wajue wasiwe wanaomba lifti wanawake, ni shida mno.

Bora hata umini, baadhi ya wanamme wakute wake zao au gf zao wamebakiza midume, wanaumia mno. Sasa ya nini kumuumiza mtu uliyenaye? Kisa lifti?


hata mimi sitakuelewa kukuta umetoa lifti kwa kidume mwenzangu mpo wawili tu kwenye gari na tena ukute mnadondosha story , vicheko juu na kugonga five.
 
Gari yangu... matumizi yake naamua mwenyewe. Kama nilikopa, nilishinda njaa, niliuza utu najua mwenyewe.... so dont disturb... upo hapo Boflo ???

..kimtazamo mwingine: Binafsi sipendi lifti saanaa kupewa wala kutoa. Za kupewa sipendi sana as wakati mwingine naona labda nakuwa kero kwa anayenipa, labda ana ratiba zake ambazo hataki kuziathiri alafu wewe wang'ang'ana na lift.. wakati mwingine mtu hayuko na mood lolz anataka awe peke yake afikirie na kupanga mambo yake.. Au yuko na mwenzi wake wanatumia muda huo kujadili mambo yao ukizingatia na mafoleni ya hapa mjini (dsm).

za kutoa.. wakati mwingine anayepewa anajisahau anafikiri kuwa ni haki yake ..kwi kwiiiiiiiiii hapa ofsini kumewahi zuka ugomvi mkubwa kisa mtu alizoeaa sana lifti siku akaambiwa changia mafuta (ilikuwa shughuli ya ofisi na kila mtu kapewa transport allowance) akagoma akaja kusambaza story chafu dhidi ya mwenye gari wakati ukiangalia yeye ndo mwenye makosa...
 
Last edited by a moderator:
ahahahhahahhaha mi kuna mtu ofisini yupo radhi anisubr hata masaa sita!
ili anipe lifti tu japo mpka ubungo!ehehehhe nna set ya kudumu kabisaaa! Kaunga what else do we need wanawake sisi!
ahahahhah sante sana BWANA kuniumba mwanamke!

....ana lake jambo huyo, we subiri akishapata/ukishamtimizia hitaji lake kama atakusubili tena masaa yote hayo..
 
Last edited by a moderator:
Bora umekuwa mkweli, na hili ndio tatizo kubwa.
Kwanza ukishamwona baba watoto afu kwenye gari kuna kidume kingine, kama hapendi mie mwenyewe naanza kutafuta justification ambazo hazipo.

Ila ambacho huwa nabaki najiuliza, kwa nini niwe mwema sana kwa watu wa nje kwa gharama ya maumivu kwa niliyenaye na kukaa tunagombana? Hata kama ni wivu wa kijinga, poa tu ni haki yake, si nilikubali mwenyewe tena kwa kujiangusaga tu?

hata mimi sitakuelewa kukuta umetoa lifti kwa kidume mwenzangu mpo wawili tu kwenye gari na tena ukute mnadondosha story , vicheko juu na kugonga five.
 
Ampakie nani labda.??? Ukute mashost zake wa kazini wote wanamagari...au unataka ile ya posta 1000...kwa mwanamke kupakia abiria kituoni not safe..na pia mwanaume anaconfidence ht akisimamishwa na mtu asiyemjua anaomba lift ana mpakia..tofauti na mwanamke...uoga mwingi na pia si salama....na ht hao wanaume si wote wanaopakiza watu..halafu compare mgari unaopakiza watu kila siku unachakaa...gari nimenunua mwenyewe so I do wat I want.....

Umenena vyema...

Aione HorsePower!
 
Last edited by a moderator:
Nimekupendaje!!?...Watu bado wana mawazo mgando ya mwaka 47 kwamba kila mwanamke mwenye kuendesha gari basi amehongwa wanasahau kwamba miaka hii purchasing power ya wanawake wengi sana imeongezeka kwa kiwango cha juu sana.

wanachekeshaaaa hao..hawaoni watu wanavyochakarika ati. Siku hizi tumebeba majukumu yote kuzaa kwa uchungu na kula kwa jasho lolz.

Cc tofali
 
Last edited by a moderator:
elewen swali jaman,na c kutoa swali ju ya swali. hata km liwe lako au la kdumu chako cha mcng kwa nn kuwa peke yenu kwenye gar?
 
Unaweza kumpa lift mwanamke mwenzio, hiyo afadhali lakini wanamme kuwapa lift ni usumbufu.

Kwanza mwekezaji anamind kukuta kidume kimetuna mbele afu mko wawiliu tu.

Wengine unawapa lift wanaanza kukutongoza bure.

Ukute umekula umin wako hatari ukikaa kinapanda hadi God knows whhere.

Mood swings za kike, sometimes unahitaji space kuwa peke yako na kutafakari tu.

Umenena kongosho. Most men not all yani akimpa lady lift LAZIMA amtongoze yani cjui mkoje nyie viumbe yani nilishangaa cku hyo nimepewa lift from mbezi beach hadi mwenge the guy didnt tongoza i was like hvi kuna wanaume wastaarabu eeee!!!!! So ata lady aweza asitake toa lift kwasababu ya upuuzi huohuo
 
Kwa hiyo na lile langu nimeongwa????????? Hata wewe baba fulani ulishindwa kunihonga.
 
Back
Top Bottom