Wanawake kuendesha gari peke yao...

Wanawake kuendesha gari peke yao...

si wanawake wote wanaoendesha magari wamehongwa wengine 2nanunua wenyewe ebo!
Tena nasikia vijana wa kiume wa siku hizi ndio wanaongoza kwa kuhongwa magari na mademu halafu wanaongoza kwa kutanulia pia
 
kwa kweli wamama wanazingatia masharti, akipata ajali kwa baati mbaya, haongei mpaka mwekezaji afike...!
 
space, security and privacy..!
kuna muda naweza nikawa na mheshimiwa/ndugu-family/friends..simpi lifti mtu nisiyemjua hata siku moja na wala siombi lifti, mambo mengi yanatokea ya kutisha sana. Gari yangu ni safi, ndani nje daily..sema kuna vitu kadhaa havikosekani kwenye gari, haimaanishi gari inakuwa chafu au vitu vimetupwa tupwa!!
Boflo nitakupa lifti wewe tu kwasababu nakujua ha ha ha..ila siyo wakati wa mvua na yale matope, uwiiii!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi ungekua wewe ndo mume wa huyo dada umemnunulia gari then kila siku unamkuta kapakia watu kwny hilo gari au kapakia wanaume unahisije utafurahia kweli?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
jamani, enzi za nyie wanaume kutuzidi vipato zilishapita, magari twanunua wenyewe, tena tunabadili after every 3-4 years. mi binafsi sipendi kutoa lift, hasa pale m2 anapokuwa anakusubiria kabisa, anataka umpakie kila siku. wkt mwingine ukitoka ofc unakuwa na misele yako mingine afu m2 anakusubiri getini. gari ni sehemu ya privacy kwangu... ofcoz na vimini, vipodozi, viatu vyote vinahusika
 
kuna wakati tulikuwa semina hotelini, sehemu tofauti na ofc, kuna dada tulikutana semina nikagundua tunaishi maeneo ya karibu. kumpa lift cku ya kwanza ikawa tabu, wakati napiga story na wengine baada ya semina kuisha yeye akanifata na kunilazimisha tuondoke maana muda unazidi kwenda. nilikasirikaje! kesho yake nikamwambia leo sielekei home, we tangulia tu
 
hapa lazima uweke ukomo mkuu .maana wanawake vichwa maji .,utaambiwa mjomba yangu kumbe unachapiwa eheeeeee./ kaa chonjo
 
Hivi ungekua wewe ndo mume wa huyo dada umemnunulia gari then kila siku unamkuta kapakia watu kwny hilo gari au kapakia wanaume unahisije utafurahia kweli?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mmmh! Skuizi mnaita abiria
 
Ampakie nani labda.??? Ukute mashost zake wa kazini wote wanamagari...au unataka ile ya posta 1000...kwa mwanamke kupakia abiria kituoni not safe..na pia mwanaume anaconfidence ht akisimamishwa na mtu asiyemjua anaomba lift ana mpakia..tofauti na mwanamke...uoga mwingi na pia si salama....na ht hao wanaume si wote wanaopakiza watu..halafu compare mgari unaopakiza watu kila siku unachakaa...gari nimenunua mwenyewe so I do wat I want.....
unasemaje tof....?
 
Back
Top Bottom