mawazo mgando, mimi napata lifti nawahi kwangu,Mtoto wa kiume kupanda gari ya mtoto wa kike alonunuliwa na mwanaume mwenzio sio poa.
mawazo mgando, mimi napata lifti nawahi kwangu,Mtoto wa kiume kupanda gari ya mtoto wa kike alonunuliwa na mwanaume mwenzio sio poa.
ka uchoyo fulani hivi muda mwingine
ukiona wa dizain hiyo ujue kapata gari ukubwani......!!!!!!!!
Unawaambia wake za wenzio watoe lift wakati mkeo unamkataza! anza na mkeo tutaiga wengine
mfyuuuu zako!
kwa hiyo jana ulivorudi nyumbani ukajiangusa? King'asti lete tarumbeta tudai picha za senema Nicas Mtei kuja huku Kaizer njoo uone mavitu ya ukween zombie kashapigwa mweleka!mujarab watu8 ile passport yangu heb nakuachia pale suka utaikuta ukaanze kunifanyia process za viza ya pariiii
Kwani hii sred inahusu nini? Si magari ya wanawake?
I HA.TE YOU:smile-big::smile-big:
ah yuko ndembe ndembe sa hz! Kongosho atakuwa huyu?
sa hiz anarembua tu huko,na less wig anavaa siku hz!
nguo anachagua mara hamsa hamsa
siku hz anafanya mpka oily na hot stone massages!
we wa wapiii!
sa hz anaitwa Connie babe gal!ful malipstick!
yani mchuuumba tu!
mlainiiini tu
yani analika mpka bone marrows!
KWEEEIHSER HABARI YAKE!
kwa ajili ya zombie we nimwagie hata tindikali!
ehehehehhee hii sredi bana inahusu lifti za wanawake ujue!
mi na Kaunga huwa ni wataalamuna wa kudowea lifti,
wewe je?
sumaku mchezo!Mie wenye magari yao wananibembeleza kupanda, sijui nina sumaku?
Yaani mtu analia kabisa nisipopanda gari yake
sumaku mchezo!
kitu cha mnasisho
ehehehhehe best part of it ni pale pa kukumbushwa kufunga mkanda au kufungiwa kabisaa!
yani
ahahahhahahhaha af ice cream zenyewe kama hiziIla watu wanafki jamani, tena anakufungia mkanda
Kwa wapenda ice cream na zenyewe wanunuliwa.
umesema vyema!!Ampakie nani labda.??? Ukute mashost zake wa kazini wote wanamagari...au unataka ile ya posta 1000...kwa mwanamke kupakia abiria kituoni not safe..na pia mwanaume anaconfidence ht akisimamishwa na mtu asiyemjua anaomba lift ana mpakia..tofauti na mwanamke...uoga mwingi na pia si salama....na ht hao wanaume si wote wanaopakiza watu..halafu compare mgari unaopakiza watu kila siku unachakaa...gari nimenunua mwenyewe so I do wat I want.....
Uchoyo wetuu!