Wanawake kuendesha gari peke yao...

Wanawake kuendesha gari peke yao...

Kuna cku natka ofcn nkamwomba lift dada mmoja tpo nae,akanambia "wee,unataka wapambe wayafkishe?"teh...teh....
 
"Kama ujuavyo yapata mwezi gari yangu ina matatizo ya kuzimika zimika oooohh mume wangu eeeehh oooooooooohhh...Yule kijana alinisaidia kusukumaaa mumee wangu eeeee oooooo ooooooohhhhh.." Mume akamjibu "Kilichonishangaza sio lifti mama watoto, bali kicheko na tabasamu vilivyokuwamo ndani ya gari x2".

Hicho ni kibwagizo cha moja ya wimbo wa zamani kidogo alioimba Komando Hamza Kalala akiwa na moja ya bendi enzi hizo kama sijasahau UDA. Wanawake/Wadada wengi wanachelea mambo wanayoweza kuzushiwa baada ya ukarimu huo hasa ikiwa ni abiria wa jinsi tofauti.

Hapo ndipo uthamani wa nyimbo za zamani unapoonekana, wimbo unaimbwa miaka zaidi ya 20 iliyopita na bado unaendelea kuishi mpaka sasa.
 
Magari yao ni kama kalakana,hayana mpangilio,utakutana na viatu,wanja,pipi,charger za simu,leso,tissue,viwembe,chupa za maji,mabox ya take away,kanga,kadi za mialiko,vioo, kwakweli magari yao yanatia uvizu kupanda.
 
Unakuta aliyemnunulia kampiga biti..!!

Kila mwanamke aliye na gari kanunuliwa.??? Acheni ushamba...huko ofisini kwako hamna wanawake walikuzidi salary. ...hauna mabosi wa kike.??? Hujasoma na mademu vichwa darasani...kumbe bado mna mawazo mgando eehh...mwanamke ni mama wa nyumbani.??heeee pole weeeeeee......cash aint nothing now days as long as uko vizuri kimshahara...si kila demu anahongwa km kina sepetu
 
Magari yao ni kama kalakana,hayana mpangilio,utakutana na viatu,wanja,pipi,charger za simu,leso,tissue,viwembe,chupa za maji,mabox ya take away,kanga,kadi za mialiko,vioo, kwakweli magari yao yanatia uvizu kupanda.

acha kutusingizia mkuu kwahiyo we cku ukipewa lifti na mwanamke ukakutana na vitu hivyo kwa gari utashuka?
 
Kila mwanamke aliye na gari kanunuliwa.??? Acheni ushamba...huko ofisini kwako hamna wanawake walikuzidi salary. ...hauna mabosi wa kike.??? Hujasoma na mademu vichwa darasani...kumbe bado mna mawazo mgando eehh...mwanamke ni mama wa nyumbani.??heeee pole weeeeeee......cash aint nothing now days as long as uko vizuri kimshahara...si kila demu anahongwa km kina sepetu

bora uwaambie loh!
 
sababu magari yao ni kama saloon
,viatu,khanga,vibanio na taka taka zoote humo
Hahahahahaaaa movable saloon... Mkuu ilinikuta siku moja kwenye foleni barabara ya bagamoyo. Mbele yangu kulikuwa na Spacio nzuri tu, wakati foleni imeanza kutembea tukashangaa gari ya mbele haitembei. Ikabidi niwashe taa ili kuomba kuingia "lane" nyingine na wenzangu nyuma wakafuatia. Ilibidi tuangalie ndani ya gari kuona labda mwenzetu amesinzia unajua tena kuamka asubuhi asubuhi.

kumbe bidada wakati ule gari ziliposimama alifungua saluni pale pale, tulimkuta anamalizia kuweka sawa wanja na mazagazagaza ya usoni vizuri. Macho yake yote yalikuwa juu kwenye kioo kidogo sehemu ya kujikinga na jua, hata pale magari yalipoanza kutembea hakuona.
 
sababu magari yao ni kama saloon
,viatu,khanga,vibanio na taka taka zoote humo

When was the last time l told you that l am crazy in love with you?
Boflo mimi nafikiri swali zuri ni kwanini magari ya wanaume yanakuwa na abiria wengi hasa wa jinsi ya kike?
Ni kwakuwa wanaume hawawezi kuishi bila watu wengine (waoga)?
Au kwa sababu wanatumia magari kama chambo cha kunasia wadada (kutongozea)?
Au ni wakarimu sana, lakini ni kwa lifti tu?
 
Last edited by a moderator:
Kila mwanamke aliye na gari kanunuliwa.??? Acheni ushamba...huko ofisini kwako hamna wanawake walikuzidi salary. ...hauna mabosi wa kike.??? Hujasoma na mademu vichwa darasani...kumbe bado mna mawazo mgando eehh...mwanamke ni mama wa nyumbani.??heeee pole weeeeeee......cash aint nothing now days as long as uko vizuri kimshahara...si kila demu anahongwa km kina sepetu

Wahongaji wenyewe wako wapi ndio kina Eiyer????
 
Last edited by a moderator:
inaonyesha fikra za wanawake sio kama za wanaume!

Umejua leo??

Wewe unawaza kujenga yeye anawaza ataenda lini kwenye saloon mpya iliyofunguliwa mtaani!!!!!!!!!!!!!
 
When was the last time l told you that l am crazy in love with you?
Boflo mimi nafikiri swali zuri ni kwanini magari ya wanaume yanakuwa na abiria wengi hasa wa jinsi ya kike?
Ni kwakuwa wanaume hawawezi kuishi bila watu wengine (waoga)?
Au kwa sababu wanatumia magari kama chambo cha kunasia wadada (kutongozea)?
Au ni wakarimu sana, lakini ni kwa lifti tu?

tell me...last week? lol
 
Just like i did to you!


Ila nimemis mavitu yako........lol!!!!!!

hahahah, kwanza now that umebadili avatar tunaweza kuquotiana maana kweli ile ilikuwa inanitisha.

Halafu, kumiss mavitu yangu sio news kwani nilitegemea maana you cant have me halafu usitamani kuwa na mimi maisha yako yote; you are not the first you know that!:smile-big:
 
Back
Top Bottom