dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
Mtoto wa kiume kupanda gari ya mtoto wa kike alonunuliwa na mwanaume mwenzio sio poa.though sio wote but a big percentage madem hununuliwa!!!!
bora uwaambie loh!
Ubinafsi na komesha watesi.
Unajua it is very uncommon mwanamke kumsimamishia gari mwanamke mwenzie ampe lifti lakini kwa wanaume vyovyote twende kazi. Nimeshashuhudia hii sana na kila siku ipo hivyo hivyo haibadiliki.
Wapo wachache ambao wana ujasiri wa kufanya kama wanaume wafanyavyo
Nakubaliana na wewe mummy.
Bibie wapo sema hujakutana nao tu. Omba hivyo hivyo usikutane nao maana masharti yao ni magumu nahisi hutoyaweza, ila wenzio baadhi huku sinza, makumbusho, na jijini kati wanatanua tu.Wako wapi wanaume wa kuhonga wanawake Magari siku hizi? wanawake wananunua wenyewe lakini bado kwa sababu ya mfumo dume mume au boyfriend anazuia kutoa lift haswa kwa jinsia tofauti.
pia wako wanaume wakipewa lift au kuonekana kwenye gari ya mwanamke hujisifia yule nshamgonga ... sababu ni nyingi tu
Umesahau kumalizia na majangaaaa mbona majangaaaaaaa ..... Gari ninunue mwenyewe
Mafuta nijaze mwenyewe
Service nipeleke mwenyewe
Kuosha nioshe mwenyewe
Trafiki niwawezeshe mwenyewe
Kupanda wapande wengine
Anyway wapande kwenda wapi???
Lol, Kongosho umenimaliza!!! Itabidi nimnunulie mke wangu basi la Yutong au Marcopolo nione pia kama atashindwa kutoa lifti! Toeni lifti wadada, tupunguze traffic jam hapa mjini!
Ukiangalia Wanaume town asubuhi au jioni utakuta wamewapakia marafiki, wanawake au ma staff wenzao...
Lakini gari nyingi zinazoendeshwa na wanawake hukuti mwingine kapakiwa ndani ya gari...
Naomba tujadili
View attachment 107247
Wako wapi wanaume wa kuhonga wanawake Magari siku hizi? wanawake wananunua wenyewe lakini bado kwa sababu ya mfumo dume mume au boyfriend anazuia kutoa lift haswa kwa jinsia tofauti.
pia wako wanaume wakipewa lift au kuonekana kwenye gari ya mwanamke hujisifia yule nshamgonga ... sababu ni nyingi tu
Bibie wapo sema hujakutana nao tu. Omba hivyo hivyo usikutane nao maana masharti yao ni magumu nahisi hutoyaweza, ila wenzio baadhi huku sinza, makumbusho, na jijini kati wanatanua tu.
Yaani kama nakuona hivi shosti. Mimi sometimes hadi nawahurumia wanavyojikakamua na kupretend, halafu unakuta mtu kama huyo kwa familia yake ni mgumu na ni mkali utafikiri policcm kwa CDM.
mfyuuuu zako!
kwa hiyo jana ulivorudi nyumbani ukajiangusa? King'asti lete tarumbeta tudai picha za senema Nicas Mtei kuja huku Kaizer njoo uone mavitu ya ukween zombie kashapigwa mweleka!mujarab watu8 ile passport yangu heb nakuachia pale suka utaikuta ukaanze kunifanyia process za viza ya pariiii
hv hujui sa hz ni mwendo wa below 50,sasa we endelea !ngoja udisco mazima!halafu huu mjadala unatuhusu tusio na magari?
hv hujui sa hz ni mwendo wa below 50,sasa we endelea !ngoja udisco mazima!
ah yuko ndembe ndembe sa hz! Kongosho atakuwa huyu?
sa hiz anarembua tu huko,na less wig anavaa siku hz!
nguo anachagua mara hamsa hamsa
siku hz anafanya mpka oily na hot stone massages!
we wa wapiii!
sa hz anaitwa Connie babe gal!ful malipstick!
yani mchuuumba tu!
mlainiiini tu
yani analika mpka bone marrows!
KWEEEIHSER HABARI YAKE!