Wanawake, anikeni nguo za ndani nje

Wanawake, anikeni nguo za ndani nje

Uliambiwa huko tunakoanika hazikauki.......?.....
Btw.....umenikumbusha sayansi kimu......nakumbuka pin cushion yangu kwenye needle work ilikuwa inafanana na hirizi.......dah.....
Unaogopa nini kuanika nje?
 
Zegamba180, njia bora zaidi ya kuua wadudu kwenye nguo ni kupiga pasi, mi nadhani ungewashauri wawe wanapiga pasi lakini suala la mwanamke kuanika nje nguo yake ya ndani sio sawa!
Upo sawa kiasi, ila chupi nyingine si material ya pamba. Huwezi kupiga pasi
 
unanikumbusha enzi nikisoma Magamba boys pale lushoto.. Yaani siku mwalimu wa kike akianika pichu yake nje kila wakati utatukuta tuko bafuni Huku Nyeto ikichukua nafasi yake maana kwa baridi ya lushoto na mikwala ya watoto wa watu tukaona punyeto ndio mkombozi wetu
Ahaaaa ibra87
 
Chupi ianikwe nje bana then ikitaka kuvaliwa inapigwa pasi... asikwambie mtu wanawake tunahitaji tuwe wasafi sana kutokana na maumbile yetu jamani!!
 
Hili suala linaathiriwa tu na hizi nyumba za kupamba lakini kiuhalisia n guo za ndani zinatakiwa kuanikwa juani Vinginevyo fungus watatafanya geto hapo Ikulu


Kiuhalisia mimi nikiianika ndani ina maana sitaweza kuivaa maana huwa nahisi sio salama kwangu! na huwa namshangaa mtu anaefua chupi yake pindi anapooga na mwingine huitumia kabisa kujisugulia khaaa sio usafi huo....
 
Hata chini ya godoro zinakauka bila shida
Mkuu Valentina tatizo siyo kukauka,mtoa mada amesema kuanika juani inasaidia kuua vijidudu. Tatizo wengi humu wanaochangia hawakusoma sayansi kimu. Wengi wapo kwenye kundi la majibu km haya hapa chini

1456225341992.jpg
 
Kiuhalisia mimi nikiianika ndani ina maana sitaweza kuivaa maana huwa nahisi sio salama kwangu! na huwa namshangaa mtu anaefua chupi yake pindi anapooga na mwingine huitumia kabisa kujisugulia khaaa sio usafi huo....
Huo ndio ukweli,ukianika juani yaani hata ukivaa unajisikia burudani,ukavu ulio bora na usalama wa hali ya juu.Kuhusu kujisugua kutumia chupi mimi hata sijui hii sayansi watu wanaitoa wapi...Yaani hiyo kitu iliyokuwa imefunika huko haja kubwa na ndogo zote wewe ndo unapigia mswaki!!
 
wakianika bafuni vp, si zinakauka vizuri? maana wengi wanaanika bafuni, vijidudu huuwawa kwa koloweka na maji moto labda

ila nikiisoma mada kwa jicho lingine naona lengo lako ni kuwa expose wadada zetu ili
waumbuke
aisee ukifua na maji moto si zitalegea mkuu
 
Mm kuanika ndani hizi pichu nilishashindwa,.au malezi niliyokulia pia yamechangia,.labda niwe ugenini ndio nitàanika ndani vinginevyo jua linahusika kukausha
 
Huo ndio ukweli,ukianika juani yaani hata ukivaa unajisikia burudani,ukavu ulio bora na usalama wa hali ya juu.Kuhusu kujisugua kutumia chupi mimi hata sijui hii sayansi watu wanaitoa wapi...Yaani hiyo kitu iliyokuwa imefunika huko haja kubwa na ndogo zote wewe ndo unapigia mswaki!!
Nawashangaa wanawake wa dizaini hii kama bado wapo,.madodoki yote yalojaa sokoni ukajisugulie chupi jamanii kwelii!??waondoa uchafu au ndio wajipakaa nongo mwilini kah!!!
 
Uge
Mm kuanika ndani hizi pichu nilishashindwa,.au malezi niliyokulia pia yamechangia,.labda niwe ugenini ndio nitàanika ndani vinginevyo jua linahusika kukausha
nine

Ha ha ha ugenini nenda nazo za kukutosha usihangaike kuifua then ukirudi home loweka...Bahati mbaya zikiisha bado ugeni upo nunua nyingine kwani nazo sio ghaaali kiasi cha kushindwa kuongeza nusu au dozen moja
 
Back
Top Bottom