Haaa!? sema hakyamungu!Sina......sasa naanika nini.......
Nikipita sehemu nikakuta chupi ya kike nyekundu imeanikwa, nitaranda randa hapo mpaka nimpate mwenye nayo
Nahisi nimerogwa.
Utakuwa umerogwa,muone mshanaNikipita sehemu nikakuta chupi ya kike nyekundu imeanikwa, nitaranda randa hapo mpaka nimpate mwenye nayo
Nahisi nimerogwa.
"Unajua hawaaniki nje kwamana wengine wana watoto tena wakiume, sasa sio busara kijana wako kujua unavaa bikini au la"Tuliosoma kabla ya elimu kuwa ya kisiasa kama ilivyo hivyo sasa tuliwahi kusoma masomo haya Sayansi kilimo na Sayansi kimu. Hasa hili somo la sayansi kimu lilitusaidia sana katika kujua kupika, kusafisha nyumba, kufua na kunyosha nguo na ujenzi bora wa nyumba nakadhalika.
Hoja yangu ni kwamba kwanini hawa ndugu zetu wa kike hawaaniki chu...pi zao nje juani? Tulifundishwa jua linaua vijidudu na kukausha nguo. Wanaume wanaanika nje juani
Wao wanaanika ndani kwenye kitanda, wengine uvunguni kabisa mwa kitandani/kochi.
Anikeni nje juani
Sina......sasa naanika nini.......
hii nchi inamatatizo mengi mbona unatuletea maada za kijinga na wakati!Tuliosoma kabla ya elimu kuwa ya kisiasa kama ilivyo hivyo sasa tuliwahi kusoma masomo haya Sayansi kilimo na Sayansi kimu. Hasa hili somo la sayansi kimu lilitusaidia sana katika kujua kupika, kusafisha nyumba, kufua na kunyosha nguo na ujenzi bora wa nyumba nakadhalika.
Hoja yangu ni kwamba kwanini hawa ndugu zetu wa kike hawaaniki chu...pi zao nje juani? Tulifundishwa jua linaua vijidudu na kukausha nguo. Wanaume wanaanika nje juani
Wao wanaanika ndani kwenye kitanda, wengine uvunguni kabisa mwa kitandani/kochi.
Anikeni nje juani
Basi tu.kwanini nyekundu
Basi tu.
uongo ana enzi za nyerere ndo kulikuwa na ma vip na machupi ya hovyo sikuhiz za kichina zimejaa tela kisa gani uvae kofuli lililochanika no wayDah hawa madada zetu waone tu wamependeza kwa nje wengi vyupi vyao vimechanika sehemu ya msamba,kuanika nje ni kuwadharirisha
hah atakuwa wema ama shishi bebeDuh!
Madam huyo nomah sana
Sio chupi, ni vifuniko vya asaliMi nimewahi kuona chupi zimeanikwa nje mara moja tu kwenye maisha yangu..Tena kwnye filamu ya Siri ya mtungi
Ni Tanzania Sweetheart mwenyewe huyo Bi Wemaha
hah atakuwa wema ama shishi bebe
Tuseme wanawake wa aina hii hawajitambui au hawathamini utu wao, hawa wanaovaa nguo:"Unajua hawaaniki nje kwamana wengine wana watoto tena wakiume, sasa sio busara kijana wako kujua unavaa bikini au la"
Kwhahiyo ina Maana Preta huvaagi chupi?