Wanawake, anikeni nguo za ndani nje

Wanawake, anikeni nguo za ndani nje

Kiukweli kuanika nguo ndani inakauka ila vijidudu havifi labda kama unapiga pasi kabla ya kuvaa na hii ni moja ya sabab ya kupata fungus, Wanawake wengi hawaaniki chupi nje ni kwasabab ya utamaduni wa kiafrica (Aibu, fedheha chupi kuwa nje haswa kama mnaishi familia kubwa au una watoto wakubwa)....Chakufanya kama unatumia Kamba fua cchupi zako kamua zianike vizuri kwenye Kamba halafu juu yake weka kanga, weka vibania, na mara nyingi unapoanika uanweza tafuta mwisho pembeni mwa Kamba,

kama ukishindwa hivyo basi hakikisha siku moja ya kila week jitahidi kuziroeka na maji ya moto, na kuzianika zipigwe jua zote kwa ujumla na zikikauka unaweka ndani. n.k. kwahiyo inakuwa ni sik umoja tu chupi zako zitakuwa nje naunazifunika na khanga au nguo nyengine juu yake, jua linapaneya mpaka ndani na zinakauka fresh tu.
 
sasa si zina madoa c unajua pale sehem pendwa panatoka ving sana so kwa mwanamke mvivu kifua lazima chu.pi iwe na alama na hii haitamuweka huru kuanika nje maaja anajua watu wata...
 
kuanika nje inategemea na nyumba unayo ishi.. hizi nyumba za kupanga ni kutaka kutafutana uchawi tu
mleta mada ana point tatizo kama wengi walivyosema ni mazingira tunayoishi,wizi,ushirkina na wengine wakiona tu nguo ya ndani ya mdada wanachanganyikiwa
 
Tuliosoma kabla ya elimu kuwa ya kisiasa kama ilivyo hivyo sasa tuliwahi kusoma masomo haya Sayansi kilimo na Sayansi kimu. Hasa hili somo la sayansi kimu lilitusaidia sana katika kujua kupika, kusafisha nyumba, kufua na kunyosha nguo na ujenzi bora wa nyumba nakadhalika.

Hoja yangu ni kwamba kwanini hawa ndugu zetu wa kike hawaaniki chu...pi zao nje juani? Tulifundishwa jua linaua vijidudu na kukausha nguo. Wanaume wanaanika nje juani

Wao wanaanika ndani kwenye kitanda, wengine uvunguni kabisa mwa kitandani/kochi.

Anikeni nje juani
Nguo za ndani zianikwe ndani na za nje zianikwe nje
 
Lengo lako uwe unakadiria papuchi za watu tu huna lolote we jamaa.

Mwanamke mwenye akili hukuti chupi yake nje hata siku moja.
Acha kushabikia mabinti kupata fangas
Wangapi wanapiga pasi chupi?!,
 
Back
Top Bottom