Wanawake, anikeni nguo za ndani nje

Wanawake, anikeni nguo za ndani nje

zegamba180

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
820
Reaction score
544
Tuliosoma kabla ya elimu kuwa ya kisiasa kama ilivyo hivyo sasa tuliwahi kusoma masomo haya Sayansi kilimo na Sayansi kimu. Hasa hili somo la sayansi kimu lilitusaidia sana katika kujua kupika, kusafisha nyumba, kufua na kunyosha nguo na ujenzi bora wa nyumba nakadhalika.

Hoja yangu ni kwamba kwanini hawa ndugu zetu wa kike hawaaniki chu...pi zao nje juani? Tulifundishwa jua linaua vijidudu na kukausha nguo. Wanaume wanaanika nje juani

Wao wanaanika ndani kwenye kitanda, wengine uvunguni kabisa mwa kitandani/kochi.

Anikeni nje juani
 
Uliambiwa huko tunakoanika hazikauki.......?.....
Btw.....umenikumbusha sayansi kimu......nakumbuka pin cushion yangu kwenye needle work ilikuwa inafanana na hirizi.......dah.....
Uliambiwa huko tunakoanika hazikauki.......?.....
Btw.....umenikumbusha sayansi kimu......nakumbuka pin cushion yangu kwenye needle work ilikuwa inafanana na hirizi.......dah.....
Preta anika nje zikauke vizuri unaogopa nini?
 
zangu ni juani sijawahi anika uchagoni mwa kitanda tangu nimekuwa..... jumamosi nazifua na nguo nyingine brazia handkerchief zote nje
 
Eeee hapo umewashika pabaya kweli na hii tabia imekuwa sugu awataki kuanika nje nguo zao za ndani
 
kuanika nje inategemea na nyumba unayo ishi.. hizi nyumba za kupanga ni kutaka kutafutana uchawi tu
 
Back
Top Bottom