EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,177
- 25,512
Hahahahaaa..... anika hata viatu.Sina......sasa naanika nini.......
Hahahahaaa..... anika hata viatu.Sina......sasa naanika nini.......
Teh teh..Sawa mkuuSio chupi, ni vifuniko vya asali
Kwan zako zimechoka sana?Uliambiwa huko tunakoanika hazikauki.......?.....
Btw.....umenikumbusha sayansi kimu......nakumbuka pin cushion yangu kwenye needle work ilikuwa inafanana na hirizi.......dah.....
Naonaga pale chupi mbili kamba imejaazangu ni juani sijawahi anika uchagoni mwa kitanda tangu nimekuwa..... jumamosi nazifua na nguo nyingine brazia handkerchief zote nje
ha inakuwa bukta ama vepee wakati nina kaflat screen hahahaha😱😱😱😱Naonaga pale chupi mbili kamba imejaa
Chupi ukiweka kwenye maji ya moto si itakuwa bukta[emoji23] [emoji23]wakianika bafuni vp, si zinakauka vizuri? maana wengi wanaanika bafuni, vijidudu huuwawa kwa koloweka na maji moto labda
ila nikiisoma mada kwa jicho lingine naona lengo lako ni kuwa expose wadada zetu ili
waumbuke
kweli Vale?kwa nini usianike nje wakati zipo vizuri tu wangu?Hata chini ya godoro zinakauka bila shida
Ntaanikaje nje wakati zimetoboka katikati[emoji85]kweli Vale?kwa nini usianike nje wakati zipo vizuri tu wangu?
Hahahahaaa..... anika hata viatu.
Kwan zako zimechoka sana?
Sio kweli. Wengi sana wanaanika nje na ni salama zaidi kuondoa vijidudu kuliko kuanika ndani ambako hazikauki vizuri.Lengo lako uwe unakadiria papuchi za watu tu huna lolote we jamaa.
Mwanamke mwenye akili hukuti chupi yake nje hata siku moja.
kumbe!!! sijawahi kuzifuaChupi ukiweka kwenye maji ya moto si itakuwa bukta[emoji23] [emoji23]
zangu ni juani sijawahi anika uchagoni mwa kitanda tangu nimekuwa..... jumamosi nazifua na nguo nyingine brazia handkerchief zote nje
mhhhSina......sasa naanika nini.......