rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,113
- 18,744
Mi nimewahi kuona chupi zimeanikwa nje mara moja tu kwenye maisha yangu..Tena kwnye filamu ya Siri ya mtungi
Je ungependa kuziona tena kwa mara ya pili?? tafadhali fika nyumbani siku ya jumamosi
Mi nimewahi kuona chupi zimeanikwa nje mara moja tu kwenye maisha yangu..Tena kwnye filamu ya Siri ya mtungi
So funJe ungependa kuziona tena kwa mara ya pili?? tafadhali fika nyumbani siku ya jumamosi
Za aina gani hizo..Kuna za dizaini flani ndo zinanivutiaJe ungependa kuziona tena kwa mara ya pili?? tafadhali fika nyumbani siku ya jumamosi
Za aina gani hizo..Kuna za dizaini flani ndo zinanivutia
Teh..Basi nitegemee jumamosiWajua mimi najua vile wewe unahitaji wewe ukujee tu mpendwa wangu
Kilichofichwa na kyupi...Je ungependa kuziona tena kwa mara ya pili?? tafadhali fika nyumbani siku ya jumamosi
Zegamba180, njia bora zaidi ya kuua wadudu kwenye nguo ni kupiga pasi, mi nadhani ungewashauri wawe wanapiga pasi lakini suala la mwanamke kuanika nje nguo yake ya ndani sio sawa!Tuliosoma kabla ya elimu kuwa ya kisiasa kama ilivyo hivyo sasa tuliwahi kusoma masomo haya Sayansi kilimo na Sayansi kimu. Hasa hili somo la sayansi kimu lilitusaidia sana katika kujua kupika, kusafisha nyumba, kufua na kunyosha nguo na ujenzi bora wa nyumba nakadhalika.
Hoja yangu ni kwamba kwanini hawa ndugu zetu wa kike hawaaniki chu...pi zao nje juani? Tulifundishwa jua linaua vijidudu na kukausha nguo. Wanaume wanaanika nje juani
Wao wanaanika ndani kwenye kitanda, wengine uvunguni kabisa mwa kitandani/kochi.
Anikeni nje juani
Kininiliu....Kinini hiko tena
Hili suala linaathiriwa tu na hizi nyumba za kupamba lakini kiuhalisia n guo za ndani zinatakiwa kuanikwa juani Vinginevyo fungus watatafanya geto hapo Ikulu
Kininiliu....
hahahaaa!!rubii kumbe ulikuwa unakijua baraabaraaKipochi manyoya teh!
Pepo hilo mkuuu.Nikipita sehemu nikakuta chupi ya kike nyekundu imeanikwa, nitaranda randa hapo mpaka nimpate mwenye nayo
Nahisi nimerogwa.
Kwangu ni sheria kila Jmosi chupi zote ndani ya detol then zinaanikwa chumbani kwenye special case.Kawaida kama wife wangu huanika then anafunika na kanga nyepesi kwa hiyo vinakauka fresh!