Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,251
- 2,131
Asante ila Jamaa ana bahatiAm married and loved by the best.
Asante ila Jamaa ana bahatiAm married and loved by the best.
Wewe nawe bartender tu.Usilamu mwanamke huyo,, jilaumu we ,,na hakikisha unajitahidi kua mwanamme Wa thamani.
Ukiona mwanamke amekupa hayo majib nisababu **Haioni future yake ndani yenu**
Kwaufupi we nimtumiaji tuuu tena unayependa bure.....
Dem Wa lodge ...wewe umegonga lkn hukumpa hata kiela cha kufurahia mwaka mpya au hata kizawadi kwa kutambua mchangonwake ..hamna, Lazima ublokiwe.
Demu wakwanza na wapili hawa japokua ushawagegeda ,,nimabint ,wanaakili ,wamegundua we unawapotezea muda.
Wasiwasi wako sisi tuko poa tu mkuu........ utajua wanaume si watu wazur kabisaaaa
Pia kuna tofauti kati ya msichana na mwanamkeKuna tofauti kati ya mwanamke na kidem
sio wasiwasi aisee kwa kilichontokea sina hamu na nyie kabisaaaa,yan kungekua na sayar wanayoish wanawke tu ningehamia ili hata nisiwe nawaona nyinyi viumbeWasiwasi wako sisi tuko poa tu mkuu
Umenena mkuu , sio kua wote tuna hio mikosi kwa madem sisi wengin videm had tunavibwaga wenyewe dailyMatatizo yako usidhani ni ya kila mtu...inavyoonekana ww bado unamtaka huyo mwanamke km ingekuwa rahisi kwenda kwa mwingine usingelalamika hivi
Kibuti kinauma.
Sisi tunawamini ilaa Baba zetu sasaa sijui kama wana waamini wake zao!VIPI MAMAKO UNA MWAMINI AU UMWAMINI....................................
True fact kabisa ...jamaaa anawaona mapoyoyo halafu wakichukua maamuzi anasema sio wa kuwaamini ...jamaa hajielewi..Usilamu mwanamke huyo,, jilaumu we ,,na hakikisha unajitahidi kua mwanamme Wa thamani.
Ukiona mwanamke amekupa hayo majib nisababu **Haioni future yake ndani yenu**
Kwaufupi we nimtumiaji tuuu tena unayependa bure.....
Dem Wa lodge ...wewe umegonga lkn hukumpa hata kiela cha kufurahia mwaka mpya au hata kizawadi kwa kutambua mchangonwake ..hamna, Lazima ublokiwe.
Demu wakwanza na wapili hawa japokua ushawagegeda ,,nimabint ,wanaakili ,wamegundua we unawapotezea muda.
Hapo pa kuwa na wanawake wengi ndo unaharibu na wala hapakujengi.
Relationships huwa zinatufundisha mengi, zinatukosoa na kuujenga tukawa watu bora zaidi katika mahusiano yajayo.
Chagua mwanamke mmoja. Concentrate on her. Give her your all. Fight for your relationship. Hakikisha unajua A to Z ya mahusiano yenu. Nini anapenda, nini hapendi. Ujue udhaifu wako, na jinsi gani unakabiliana nao ili uhusiano uweze kusogea mbele.
Usiwe mtu wa kugive up kirahisi especially kama unampenda mwanamke na una malengo nae.
We women are complicated. We carry alot of weight on our shoulders and in our hearts. Ukute wanapokuambia they need time away, ni kwa ajili ya pressure za maisha na wanahitaji kweli kupumua na sio kuachana tu.
Hapo sasa ndo unaonyesha mapenzi kwa kumtoa out dinner ama movies, massage and believe me akisha relax, ataweza kuondoa uzito moyoni.
Come on man. No quitting.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siwezi kumpa mwanamke moyo wangu alafu mimi nitaishije
[emoji23]Jibu ni kuoa upambane na maisha akuna kutegea hapa
Vilevile usimuamin mwanaume yeyote dunian isipokua your Dady and your son..ovaHawa viumbe wanabadilikabadilika mithili ya Kinyonga....! Usimwamini mwanamke yeyote duniani isipokuwa mama Mzazi.....! Wanawake ni kama mabasi ukikosa moja unapanda jingine
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Sijawahi onaa ushauri Mbovuu kama huuuu hapa JF...!! Concontrate na mkee tuu sio videmu hivii... yanii mr kuwa demu mmoja boraa nisiwee naeee... Stock haiwezi pungua Wa4 na hata wakiondoka wa3 me sijawahi bembelezaa...Akili ya mwanamke kamwe siji kuilaumu aiseee ni ZEROOOOO japo nina mama na dada zangu...
Jamaa story yakoo imenikutaa me Mwishoni mwa mwakaa janaa..!! Haa ha ha..afuu hela hiyo hiyo 20000 mwananguu daah... Sema ndo zao haoo yanii Siku hizi wanaamua kukupiga kizinga then wanapotea.. Wakifanya hivyo kwa wanaume kama 10 hivi si wana mtajiii.. Yani Siji kumwamini mwanamke aiseeMimi nilikuwa na mpenz pia na nikitaka nimtambulishe nyumbani niuache ukapela,, sasa tar 28 tukapanga aje kunitembelea nikafanya maandalizi makubwa tar 31 nikamtumia nauli tsh 21650 atoe 20000 ya kumleta na kula njiani, sikuamini tar 01 asbh nilimpgia sm akaniambia yuko stand aje lakn baada ya hapo nilikuwa napga simu ananikatia hadi jioni yake alipoamua kuzima simu kabisa.
Kesho yake niliamua kumcheck na namba nyingne akapokea nikamskia ndo yy kisha nikampgia kwa namba yangu kama kawa akaikata tena.
Hadi hapo nikakoswa namna nikaona nifute tu namba yake ila leo ndo ameamua kunifungukia kuwa hana muda na mimi nitabaki hati hati lake silipati..
Mwanamke ni sura nzuri ambayo kwa ndani yake kumejawa kila aina ya uovu na uchafu, sawa sawa na jeneza la dhahabu ambalo kwa ndani limehfadhi maiti.[emoji203] .